Aston Villa aliyoiacha Mbwana sio kama ya sasa baada ya yeye kuondoka kwenda Uturuki kwa mkopo. Je kuna uwezekano kiasi gani kwa Samatta kurudi tena Aston Villa kama mchezaji?
Kwani aliwakuta wanafanya vizuri!??Ameondoka tu timu ikaanza kufanya vzr kutakuwa na jambo halikuwa sawa
Wazungu sio wajinga....Aston Villa aliyoiacha Mbwana sio kama ya sasa baada ya yeye kuondoka kwenda Uturuki kwa mkopo. Je kuna uwezekano kiasi gani kwa Samatta kurudi tena Aston Villa kama mchezaji?
Usajili wa dirisha dogo ni wa kimkakati zaidi, ni kama drip la maji kwenye mwili wa mgonjwa. Baada ya mgonjwa kuwekewa drip ndugu wanategemea mgonjwa wao atabadilika kuelekea kupona. Lakini Samatta hakufanya kazi chanya ya drip kwenye timu. Timu ilikuwa afadhali ya jana.Kuna kitu hakikuwa sawa hata kabla ya Samatta kujiunga Aston,kaikuta kwenye ventilator ila alipotoka tu ndo ufumbuzi ukapatikana.
Wanaomponda Sammatta 98% ni Utopolo fans.Kwani aliwakuta wanafanya vizuri!??
Kaenda dirisha dogo januari, aliikuta timu ni dhohoful hali..
Wabongo tuna matatizo sehemu, hatupendi maendeleo ya wengine sijui kwanini!