Recent content by unclemagu

  1. unclemagu

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    Tatizo lako linaitwa peripheral neuropathy linatokana na mishipa ya nerves kushindwa kufanya kazi vizuri so dawa zake ni gabapentine 300mg kidonge kimoja kwa siku mwezi mzima au unaweza tumia pregabalin 75mg na yenyewe dozi mwezi mzima kumbuka maumivu hayaishi siku moja ni mwendo wa taratibu...
  2. unclemagu

    Masikini Simba Sport Club

    Mikiaaaaaaaa fcccc always be mikia fcccc matopeni kunawahusu mxuuuuuh Sent using Jamii Forums mobile app
  3. unclemagu

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Alliance boy's na thaqaafa secondary high school Post sent using JamiiForums mobile app
  4. unclemagu

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Yani zaidi ya JM luxury hakuna nakushauli usipande princess muro,Osaka,wala falcon utalala singida
  5. unclemagu

    Zitto: Angalieni hali ya Wanafunzi, jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya Tshs Bilioni 50

    Zitto we si mmbunge umewafanyia nini wana kigoma
  6. unclemagu

    Msaada Pumu ya ngozi (Eczema dermatitis)

    Mkuu tumia dawa ya kupaka inaitwa salycylic acid+betamethasone ointment
  7. unclemagu

    Diaspora: Nani yupo Moscow tuonane nipate kampani

    Hahah umenikunbusha mbali sana abizian blayaaad
  8. unclemagu

    Tatizo la vipele vinavyotokana na kunyoa nywele kichwani chini ya kisogo (Acne Keloidalis Nuchae)

    Bro nunua dawa moja inaitwa mupirocin cream itakusaidia sana i had same problem kama hiyo saiv nimepona kabisa
  9. unclemagu

    Panya road wavamia sherehe za mahafali Msongola

    Jamani kwenye sherehe hakuna chupa za bia?au soda wanaume wa dar vepeeee
  10. unclemagu

    Kupatwa kwa jua, ishara ya mwisho wa dunia

    Nimesikitika sana hii asbuhi nimewasha tv tu niangalie taarifa ya habari nakutana na hii kitu kweli ustadhi anatupoteza aisee
  11. unclemagu

    Kimbembe cha VAT: Wawekezaji wanaondoka!!

    Hakuna nnchi ambayo inaendeshwa bila kodi wacha waondoke manake wamezoea kuja ku make profit huku bila kulipa kodi wacha waende zao kula ambapo hawalipi kodi pumbafffffff
  12. unclemagu

    Mademu wengine bana, ili liwe funzo kwenu

    Hahahhahah jf kuna vituko aisee this start my weekend
  13. unclemagu

    Huyu mrembo ndo story ya town.. Diamond kiboko, pole Zari

    Mwanaume wa Darussalam kazi kweli kweli :-D =-O
  14. unclemagu

    Kumbukumbu yenye huzuni ya dereva Mtanzania aliyefia na kuzikwa Congo

    Samahani mtoa mada unaweza kunipatia jina la dereva huyo japo ni kitu kimetokea miaka imepita kuna rafiki yangu nilisoma nae primary school baadae nikasikia anaendesha gari za mizigo kwenda congo nikasikia amefia njiani na kuzikwa hukohuko sasa sina hakika kama ndo yeye alikua akiitwa muddy mandevu
Back
Top Bottom