kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,010
- 650
Hata wewe hilo ni jukumu na km hulijui subiri wakupitie wakati ukisubiri vyombo sijui vya niniHamna kusingizia ugumu wa maisha kuongea hivyo mnazidi kuwapa nguvu hawa wapumbavu! Tatizo watu wa ulinzi na usalama wanacheza muvi na wapinzani...hawa watoto si wakutukosesha raha kiasi hicho!