Recent content by Uncle Yoso

  1. Uncle Yoso

    Naitabiria EP ya First Of All ya Diamond Platnumz kuvunja rekodi mbalimbali Afrika

    Nimezisikiloza nyimbo zote kijana KAUA sana [emoji91][emoji91][emoji91] nyimbo zote zipo Hot
  2. Uncle Yoso

    Alikiba anakutaka usiwe na wivu

    Ngoja team kibakuli waje
  3. Uncle Yoso

    Mchungaji na Bilionea Shilla...

    Nilisham unfollow insta kwa kuona simuelewi elewi
  4. Uncle Yoso

    Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

    Ulikuwa unatakaje
  5. Uncle Yoso

    Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

    Kama namuona vile Harmo-Mondi anavyoweweseka kusikia mwenzake katoa dude
  6. Uncle Yoso

    Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

    Haka kajamaa kaacheni tu sijui kanatumia ndumba gani wimbo ni dude balaaa, Usiniguse usini touch tusalimiane kwa miguu
  7. Uncle Yoso

    Matarajio yangu juu ya ujio mpya Dizasta Vina (The Verteller)

    Moja kati ya watu ninaowaelewa zaidi kwenye Hip hop ukiniambia nikupe orodha ya wana hip hop huyu jamaa ni namba moja kwangu sio hivi vijamaa vyenu vibana pua vinachana kwa kubenjua benjua vidomo fuc*n
  8. Uncle Yoso

    Najuta kujenga kibanda changu uswahilini. Mswahili ni mtu duni sana

    Vijana hawapendi mambo ya kiduanzi chakwangu ni chakwangu mimina familia yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. Uncle Yoso

    Zuchu kutambulishwa rasmi WCB Wasafi

    kama ulivyoniahidi zuchu my wife to be kwamba utakuwa na mimi hata milele unaenda kujulikana na dunia usiniache... hayo ni maneno ya baharia mmoja yalisikika yakisema
  10. Uncle Yoso

    Hivi kweli Harmonize ndio wa kutafuta views milioni 1 kwa siku 5?

    hako ka wimbo ka hujanikomoa ni message kwa mtu fulani
Back
Top Bottom