Mwadunda
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,027
- 1,707
Chukia kila mtu mpuuzi mmoja wewe, inaonekana unajiona sana shahada ndio mdudu gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo letu bado tunalimbuka na usomi, ndiyo kwanza tunaanza kuwa na watu wengi wenye videgree degree vya kwanza hivi.Kuna nyakati zaja ambazo dunia itakuwa na wasomi kuliko kawaida na ajira zisiwepo.
DuuuhHako kadegree kamoja unatoka povu hivyo.
Mzee wangu mkubwa ni Profesa ila kakosa kazi kwa sasa ni dalali wa nyumba.
kwanza unatakiwa ushukuru Mkuu hapo una uhakika wa kupiga chai msosi wa mchana ukashiba, ukishashiba sasa ndio akili inatakiwa ifanye kazi, tafuta connections mpya hapo hapo hivi unaonekana una cheo kidogo watu wanakuwa wanakuchukulia huna madhara hivyo hiyo ndio njia ya kutoboa, fanya yako chinichini ukija ibuka uko juu yao, hapo tumia elimu ya kitaa maana ya shuleni ishafika mwisho jiongeze, wengine tumeamka hapa hatujui tunaelekea wapi saa hizi na tuna mavyeti kama yako lakini amini mkuu mm sijatoka home mpaka Muda huu hakini niko nyuma ya keyboard nishaingiza 70tsh ndani ya dakika 40...siendi kumtumikia kafiri yoyote, naenda zangu shamba kupanda kunde, je ningeajiriwa na mvua hii sa hizi ingekuwaje? Stress tupu, jiongeze mkuu tafuta fursa piga hela, nguv kidogo akili nyingi. usiibe tu au kutapeli, tafta laptop yenye uwezo kuwa nayo hapo Camp alaf akili ingine itakuja
Kuna wimbo mmoja wa Ommy Dimpoz ni bonge la ngomaHako kadegree kamoja unatoka povu hivyo.
Mzee wangu mkubwa ni Profesa ila kakosa kazi kwa sasa ni dalali wa nyumba.
unajijengea ufungwa wa moyo.Very true and thinking that coming with highest certificates the world will clap hands for you. Mbaya sana
Wew n mpumbavu sanaaWEWE NI MUONGO
kama ulipita JKT na una degree mlishasmbiwa ajira zenu zipo tayari, ni issue tu ya kupeleka CV na Vyeti Vyenu Kwa Muajiri Mpangiwe kazi...
Au wewe hukusikia kama mimi?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Majitu yanayosema jiajir huwa nayashangaa sanaaGuys, tusipende kuwa tunatoa majibu ya wima as if unamjua mtu maisha yake, mtu amekwambia ndio kwanza alikuwa amemaliza masomo yake, sasa unasema ajiajiri, unajua kuanzisha shughuli binafsi kunahitaji pesa ya mtaji, na kama angekuwa nayo unadhani angeenda kufanya hizo kazi ?
Puuzi sana hili jamaa, at least umepata AjiraUnamchukia Magufuli ana uhusiano gani na wewe kuwaandalia madogo chai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto za alinachaMimi ningesoma hata mpaka kufika elimu ya sekondari ningekuwa mbali sana leo hii, siyo mpaka ngazi ya shahada, hapana.
Ningefika kidato cha kwanza, cha pili...
Huenda ningekuwa Mars na kina Tesla!
Na wote wanaojifanyaga kuwahimiza watu wajiajiri wao wankuwa wameajiriwa, jana pale ITV nilimuona mama mmoja Mkurugenzi wa Veta anasisitiza Vijana wajiajiri, eti anasema (wao) wanataka kuiondoa hayo mawazo vichwani mwa wananchi (hasa vijana) ya kuwaza kuajiriwa, mimi nikasema, kwanini asianze kuonesha mfano yeye, aache hiyo kazi aende akajiajiri, tena umri wake umeenda kabisa, Mzee Mkuchika kwa mfano, ameanza kazi lini ?, yeye macho yake hayajaziona hizo fursa za kujiajiri ?, Zungu, ndio kwanza anapangiwa piition mpya jana
Pole sana Mkuu,hayo ni mapito tu.Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Anataka amtafutie kazi na akamfanyie interview. Huyu elimu haijamsaidia.Pumbavu sana wewe unamchukia mhe rais magufuli kisa kukosa kazi,acha bangi kwahiyo Magufuli akutafutie kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadangu simbachawene yeye aliajiriwa Kama mpigadebe stand anakimbizana na vibegi vya abiria leo waziri wa mambo ya ndaniKweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.