Yes ni kweli mkuu, mfano kafia gheto ya Hussein machozi , ngoma Kali views chacheViewers sio kazi ndogo kuwapata,kufikisha 1M tu jasho likutoke
kuna nyimbo zina tikisa mitaani kila kona ila ukija youtube viewers
hata 500k hawafiki,ishu ya viewers ni darasa kama la Forex yahitaji
mwalimu aliye master game ambae kwasasa huyo teacher kaajiriwa WCB
Hakosei mahala now HAIBI VIEWS KAMA kule kwa mwanzo....TIME WILL TELLThis is not fair kwa kweli kuna mahala anakosea....View attachment 1356242View attachment 1356243
Kiba kasema weeeeee wakamuona namna gani ngoja siku afungue mdomo huyu mmakonde ambaye alikuwa mshirika mkubwa ndo watu wataelewa.Maromboso kuna wimbo ana viewers 22m .....wakat papa mobimba tu hajawahi fikisha hizo....wcb kuna mchezo wanafanyaga
Alafu namuona siku hizi Kama akili zimemruka kwenye insta yake amepost anakojoa mkojo kichakani.Hivi Rich mavoko yupogo wapi?
Lazima awe mbunge. Na ndo Atalanta Nzuki kwa raha zake. Nafasinya marehemu John Komba umepata mtu......Harmonize huu mwaka hamalizi. muda wake wa kutamba kamati ya husda walishauhesabu.
Alafu namuona siku hizi Kama akili zimemruka kwenye insta yake amepost anakojoa mkojo kichakani.
Labda angekuja kutuambia ni vipi WCB wanafanya kupata viewers wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu namuona siku hizi Kama akili zimemruka kwenye insta yake amepost anakojoa mkojo kichakani.
keshampita now. 2.06 vs 2.09 in favor of vannboyCheki wcb wanamtumia rayvanny kuprove harmonize hakuwa sawa. Kwenye subscribers harmonize alikua anampiga range ndefu tu rayvanny lkn sshv naona wanazidiana points tu. Harmonize ana subs 1.47 M lkn rayvanny ana 1.36 M. Soon jamaa anaangushwa na hilo jeshi lake huwe
na yeye si aboost.. unataka kuniambia jeshi hajui michezo yote ya wasafi? afanye na yeyeNi ngumu kupata viewers 1M kwa siku moja bila boosting watu wameweka mpunga mrefu usidanganyike kihivyo mkuu wasanii hawaingizipesa kihivyi huko youtube
haahaaa nilitabiri hii kitu, Nasubiri nandy vs zuchu huku youtubekeshampita now. 2.06 vs 2.09 in favor of vannboy
Buh rayvan nyegezi sio levo ya harmonize ule akitoka wasafi anakufahaahaaa nilitabiri hii kitu, Nasubiri nandy vs zuchu huku youtube