Recent content by Umsumbalembe

  1. U

    CRDB Mungu anawaona. Mnatunusisha mahela halafu mnayatoa

    Hapana mkuu,wanaboresha mifumo yao.
  2. U

    Hii ndio sababu inayosababisha wasichana wengi wasiolewa

    Wengi wao wanakimbilia kuzaa wakitegemea Sogea tuishi, wakati wasogezaji wanategemea Mashangazi, nao mashangazi huwageuza hawa Ben Ten kama maofisa usafirishaji na kujidanganya mali za Mishangazi ni zao!
  3. U

    Nini faida kwa mtu kuzaa watoto?

    Imeandikwa.... nendeni mkaijaze dunia.
  4. U

    SI KWELI Je, hii video hii ya Muafrika akitengeneza ndege ya mbao ni halisi?

    Njaa usawa huu, mbao huwezi chezea hivyo!!!
  5. U

    Airtel Money sio salama. Nimebadili neno la siri bila Kuhojiwa taarifa zozote Muhimu na wahudumu kuhusu Account yangu

    Moja ya hatua kabla ya kubadili namba ya siri ni kuweka namba yako ya siri ya zamani, huoni hapo kama kuna control kuthibitisha kwamba wewe ndiye mwenye account? Any way, Airtel mnaitwa huku mkuje mjibu hoja.
  6. U

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Hiyo ni kujichukulia Sheria mkononi! Kula uliwe, ulipewa bure wewe toza ushuru na nauli.
  7. U

    Lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi wakuu?

    Moja ni hiyo ya Masista wa kikatoliki hapo Kichangani Iringa .
  8. U

    Lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi wakuu?

    Bahati nzuri cheti cha ndoa hakina picha!
  9. U

    Unawapa alama ngapi Mbeya City kwa jezi zao?

    Hata kwa mazoezi hazifai! Zinawajengea picha mbaya wachezaji, zimekaa kama nepi au vijora vya mtaa wa Ghana!!
  10. U

    Unawapa alama ngapi Mbeya City kwa jezi zao?

    Jamani hizi siyo nepi kweli!
  11. U

    Hiki kinachoendelea anachofanya Trump kwa Putin ni dharau ya wazi wazi, Hebu jionee mwenyewe

    Hawa ni mabest kama John ze baptist wa Ndiwili na huyu Bwana shamba wa Mbozi.
  12. U

    Wanaume, huwa mnaharakia nini?

    Kwa vile ni ngonobiashara na nikimaliza nasepa usije sema hujashiba, utashiba unakopeleka malipo yangu.
Back
Top Bottom