Recent content by Ulamaa

  1. U

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    "mbwa hubweka sana anapoona chakula cha bwana wake kinaliwa na mtu mwingine. lakini mbwa huyo huyo anapokula chakula hicho cha bwana wake bila ridhaa ya bwana wake - huwa mkali pale anapokatazwa kuendelea kukila"
  2. U

    Udini Wizara ya Elimu

    Nakupa heko Bwana Buchaman; Sio kwamba umetoa hoja nzuri, La , bali kwa kuwa umeacha unafiki na kuwa mkweli kuonyesha hisia zako. Watu wengi hapa wanazunguka huku na huko wanajifaragua wanaleta post za kizushi, zisizo na mantiki, utasikia upendeleo, mara udini, mara tunasilimishwa!!! yote...
  3. U

    Ujenzi na Siasa UNIVERSITY OF DODOMA

    Mkuu naomba ufafanuzi juu ya kauli hii "Usilaumu sana.."
  4. U

    Ukweli Kuhusu UDOM huu hapa

    Hapa umenena na nakubaliana na wewe!!!. Na wanaokuza jambo hili ni hawa wanaokurupuka kuleta mada za Kuna udini hapa au pale kwa vile tu aliyeteuliwa hakuwa wa dini wanaiyotaka wao. Hapa ndipo matatizo yanapoanzia, watu wanapenda kutuhumu watu udini kwa sababu mteuliwa ni dini moja na...
  5. U

    Ukweli Kuhusu UDOM huu hapa

    Mkuu Fidel, wazungu ni watu / binadamu kama wewe na mimi, na niwabaguzi saana tena wabaguzi namma moja kwa kila kitu, kuanzia, rangi, dini, hadi ukabila/utaifa. Kama wataka kujua kama wana udini au la Jiulize Vita ya Ireland Kaskazini kiini chake nini???, pia chunguza Marwa Ali Al Sherbini...
  6. U

    Ukweli Kuhusu UDOM huu hapa

    chuki na udini umekujaa, najua hampendi kuambiwa ukweli hasa pale hila zenu zinapofichuliwa. Sehemu zote hizo zenye vita ni kwa sababu ya uroho wa wagalatia dhidi ya mali za waislam walizjaaliwa na mola muumba. Hapa kin achotakiwa ni kujibu hoja kwa hoja sio kushutumu na kutukana kwa sababu...
  7. U

    Pengo: Nchi imeoza!

    Pengo usitufanye wajinga;Taasisi yake ya TEC, ilipoandaa haya yafuatayo walikuwa na lengo gani?????? Nanukuu "...Tusiruhusu nchi hii mwanya kwa dini yoyote ile kushika hatamu za uongozi na Kanisa kubaki nyuma na kuwa halina sauti. Mambo haya yalijitokeza kwa awamu ya pili. Awamu ya tatu...
  8. U

    CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

    Mkuu Joshi, hayo maneno nimeyanukuu, sio yangu. Ni imani yangu kuwa kuna habari haijakufikia, nayo ni ile iitwayo Siri ya kiuchungaji" ambayo hubaki ndani ya Kanisa.
  9. U

    CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

    Naelewa na nimeusoma, na kabla jua kuchwa utakuwa umenielewa
  10. U

    CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

    MAAMKIZI YA AMANI KWAKO MKUU KABONDE. Nashukuru kwa maoni yako mazuri, ila nashangaa kuona baadhi ya wana jamii waliojibu wanavyoshindwa kubaini hoja za kimantiki na kukimbilia udini. Hoja niliyoitoa ni kwamba CHADEMA ni chama cha Kanisa, kwa maana ni Taasisi ya kisiasa ya KANISA. Haya...
  11. U

    CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

    "CHADEMA CHAMA CHA KANISA" Mkuu Joshi Michael, kama kunena haya ni kigezo cha kuwa mdini, basi Mdini sio mimi bali walio nena haya. Rejea Waraka wa kanisa katoliki Tanzania BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA (TEC) MPANGO WA KUHAMASISHA HUDUMA YA KICHUNGAJI KATIKA JAMII KUELEKEA UCHAGUZI...
  12. U

    CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

    HAKUNA KITU CHADEMA, chama cha kanisa hicho!!!!!!!!!!!!.
  13. U

    Fisadi ni mtu gani?

    Ndugu zangu wana Jamii Forums Amani Iwe kwenu. Nachukua wasaa huu kuweka sawa maana halisi ya neno Fisadi. Asili ya neno hili ni lugha ya kiarabu kama alivyosema Mkandara, ila maana yake siyo (Rushwa) Corruption. Kiarabu kina neno Rash ambalo ndilo rushwa. Na mafundisho ya kiislam (Hadithi)...
  14. U

    50 People Who Are Screwing Up Tanzania

    50. Reginald mengi 51. Samwel sitta 52. Iddi simba
Back
Top Bottom