CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

CHADEMA chama Mbadala kwa CCM

Buzwagi, Leo Katika Taifa la Tanzania kuna mambo mengi yaliyokuwa yanafanya kinyume cha Sheria na hata ukiukaji mkubwa sana wa haki za Binadamu, Tazama Mgodi wa North Mara na jinsi watoto, Wakimama Wanavyoteseka?? Utashangaa sana kusikia kuwa CCM kuwa Hawajui, Watu tuliwapa Dhamana ya uongozi wetu na kufanya watu kuwa wakimbizi.
Bunge la Tanzania Leo Nimebadika kwa kiasi fulani kutokana na wabunge Kadhaa wa Upinzania na Hasa CHADEMA, Wakiongozwa na Rashid Mohamedi wa CUF.
.

hawa CCM sio kama huwa hawajui wala hawasikii ni kwamba hawapendi kutake action mpaka wapigiwe kelele ,na ni kwa vile watu wao ndio huwa wanafanya maovu inakuwa ngumu kuwaumbua..

mpaka pale watu wengine waone na wapige kelele ndo wanajifanya na wao wameona kumbe danganya toto..
 
hawa CCM sio kama huwa hawajui wala hawasikii ni kwamba hawapendi kutake action mpaka wapigiwe kelele ,na ni kwa vile watu wao ndio huwa wanafanya maovu inakuwa ngumu kuwaumbua..

mpaka pale watu wengine waone na wapige kelele ndo wanajifanya na wao wameona kumbe danganya toto..
Wanajua wanaficha mambo mengi
 
Ushauri wangu kwa wazalendo hasa wapambanaji wa kweli wenye machungu na tanzania yetu ni kuandaa vijana na kuwapa nafasi za uongozi kuanzia ngazi za chini kabisa ambapo mabadiliko ya kweli yanapoanzia... Chadema wanatakiwa wawe wabunifu wa kuchochea mapambano ya kifikra hasa vijijini na kwenye miji midogo, mashuleni na kwenye vyuo vikuu ilhali wakibainisha wazi haki za wananchi na nini watafanya ktk kuiokoa nchi hii yenye kila sababu ya kuchumpa kwenye maendeleo...
Mimi si mwanachama wa chama chochote lakini chadema nawaunga mkono ktk mapambano ya kutokomeza ufisadi... tanzania ni yetu sote
 
hii inawezekana isipokuwa wafanye mpango wa kuwa chama cha kitaifa zaidi.........wasilemae na mafanikio yaliyopatikana kwani watz sasa wanataka mapinduzi ya kweli sio mapinduzi ya ccm yaliyoshindikana kwa miaka zaidi ya 40 baada ya uhuru.together we can
 
HAKUNA KITU CHADEMA, chama cha kanisa hicho!!!!!!!!!!!!.

Mkuu Ulamaa naomba kutokubaliana na hoja ya udini CHADEMA.CHADEMA wapo viongozi wa kiislamu kibao kama wakina Zitto Kabwe na Bob Makani.
Nijuavyo mimi CHADEMA si chama cha siasa bali ni NGO ya kina Ndesamburo,Mtei na Mbowe.Mkuu Ulamaa unafanya kosa kubwa sana kusema CHADEMA ni chama cha siasa.Mkuu Ulamaa hii ni NGO kwa asilimia zote bana usitake ni nicheke bure.

Kwakuwa CHADEMA si chama cha siasa kama baadhi ya wanajamvi wanavyotaka kutuaminisha si rahisi kuwa chama mbadala kwa CCM mpaka kitakapoamua kuwa chama cha siasa siku za usoni kitu ambacho hakijafanyika na hakitafanyika chini ya uongozi wa mtuhuru na yule dogo mtetea dili la Dowans.

Chama mbadala kwa CCM bado sana ingawa najua wanajamvi wengi hawapendi kuambiwa ukweli.CCM itaendelea kutuongoza kwa kipindi kirefu sana kwasababu wapinzani hawataki kuunganisha nguvu pamoja.CHADEMA baada ya kuvurumisha Chopper wanadhani sasa ni wakati wao wanaweza kushinda nasema watakuja hapa jamvini maana najua wapo kibao na sababu za kijinga mwaka 2010.

Kenya inaweza kuwa mfano mzuri au somo zuri kwa wapinzani wa hapa kwetu Tanzania bila kuungana sahau kushika dola.Tume ya uchaguzi nayo ni sababu nyingine kubwa itakayochangia CCM kuendelea kutawala.Wapinzani wanatakiwa kuungana kwa pamoja kuishinikiza serekali kuunda tume huru ya uchaguzi.
 
Mkuu Ulamaa naomba kutokubaliana na hoja ya udini CHADEMA.CHADEMA wapo viongozi wa kiislamu kibao kama wakina Zitto Kabwe na Bob Makani.
Nijuavyo mimi CHADEMA si chama cha siasa bali ni NGO ya kina Ndesamburo,Mtei na Mbowe.Mkuu Ulamaa unafanya kosa kubwa sana kusema CHADEMA ni chama cha siasa.Mkuu Ulamaa hii ni NGO kwa asilimia zote bana usitake ni nicheke bure.

Kwakuwa CHADEMA si chama cha siasa kama baadhi ya wanajamvi wanavyotaka kutuaminisha si rahisi kuwa chama mbadala kwa CCM mpaka kitakapoamua kuwa chama cha siasa siku za usoni kitu ambacho hakijafanyika na hakitafanyika chini ya uongozi wa mtuhuru na yule dogo mtetea dili la Dowans.

Chama mbadala kwa CCM bado sana ingawa najua wanajamvi wengi hawapendi kuambiwa ukweli.CCM itaendelea kutuongoza kwa kipindi kirefu sana kwasababu wapinzani hawataki kuunganisha nguvu pamoja.CHADEMA baada ya kuvurumisha Chopper wanadhani sasa ni wakati wao wanaweza kushinda nasema watakuja hapa jamvini maana najua wapo kibao na sababu za kijinga mwaka 2010.

Kenya inaweza kuwa mfano mzuri au somo zuri kwa wapinzani wa hapa kwetu Tanzania bila kuungana sahau kushika dola.Tume ya uchaguzi nayo ni sababu nyingine kubwa itakayochangia CCM kuendelea kutawala.Wapinzani wanatakiwa kuungana kwa pamoja kuishinikiza serekali kuunda tume huru ya uchaguzi.
Hakuna haja ya kuunganisha vyama, Watu wachague chama makini. na pia kuna haja ya kuona kuwa ni nani anafaa kutuongoza Watanzania?? CHADEMA wanaweza pia,
 
Hakuna haja ya kuunganisha vyama, Watu wachague chama makini. na pia kuna haja ya kuona kuwa ni nani anafaa kutuongoza Watanzania?? CHADEMA wanaweza pia,

Josh michael,
Heshima mbele.
Wapinzani lazima waungane kuelekea uchaguzi mkuu ili kutoa ushindania wa maana.Chadema wanaweza kwenda wenyewe bila kushirikiana na vyama vingine lakini tarajia kilio cha samaki baada ya uchaguzi.
 
chadema kinaenda vyema isipokuwa kuna kaelement ka ukabila hilo ndiyo tatizo kubwa sana.

ni kwasababu vyama vingi vyama upinzani vipo kwa maslahi yatu wachache at least CHADEMA ndiyo kinaonekana kidogo.

Ni kazi sana kuiangusha CCM
 
chadema kinaenda vyema isipokuwa kuna kaelement ka ukabila hilo ndiyo tatizo kubwa sana.

ni kwasababu vyama vingi vyama upinzani vipo kwa maslahi yatu wachache at least CHADEMA ndiyo kinaonekana kidogo.

Ni kazi sana kuiangusha CCM
Shida moja kubwa kuna vyama ambavyo ni Mamluki toka CCM na hivyo kama kila chama kina agenda yake muhimu sana katika Taifa vitakuwa imara daima, Ila kuna Wasanii pia kwenye Upinzania hivyo umefika wakati wa vyama hivi Kufa vifo ambavyo ni NATURAL DEARTH, NAPENDA vyama ambavyo ni Mamluki toka huko kwenye Ufisadi vife kabisa na tubaki na hata na vyama 2 tu lakini Imara na wana nia ya dhati, CCM wanatumia vyama hivi kuua demokrasia ya kweli Tanzania
 
CHADEMA kinaweza kuwa mbadala wa CCM lakini safari bado ngumu. mana kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo CHADEMA inathibitisha kufanana na CCM. Angalia uchaguzi wao wa mwenyekiti taifa, uchaguzi wa mwenyekiti vijana, viti maalumu vya 2005, angalia gogoro la chacha wangwe lilivyoshughulikiwa, nk. CHADEMA lazima ikubali kujisahihisha ili iwe mbadala wa CCM, nafasi ipo. Lakini kwa CHADEMA hii tunayoiona, wapi. labda tuseme tumechoka CCM kula peke yao, tuwape na CHADEMA wale. lakini sio tofauti katika maadili na demokrasia. anaebisha alete tofauti moja hadi nyingine kati ya CHADEMA na CCM katika eneo la uongozi na maadili tujadili hapa. wote ni ubabaishaji mtupu. Ni kweli watanzania wanahitaji chama mbadala, na CHADEMA ingependeza kuwa mbadala, lakini siyo CHADEMA hii ambayo bado inafanya uchaguzi wa mbowe na kivuli.. bado. bado sana...
 
Mkuu Ulamaa naomba kutokubaliana na hoja ya udini CHADEMA.CHADEMA wapo viongozi wa kiislamu kibao kama wakina Zitto Kabwe na Bob Makani.
Nijuavyo mimi CHADEMA si chama cha siasa bali ni NGO ya kina Ndesamburo,Mtei na Mbowe.Mkuu Ulamaa unafanya kosa kubwa sana kusema CHADEMA ni chama cha siasa.Mkuu Ulamaa hii ni NGO kwa asilimia zote bana usitake ni nicheke bure.

Kwakuwa CHADEMA si chama cha siasa kama baadhi ya wanajamvi wanavyotaka kutuaminisha si rahisi kuwa chama mbadala kwa CCM mpaka kitakapoamua kuwa chama cha siasa siku za usoni kitu ambacho hakijafanyika na hakitafanyika chini ya uongozi wa mtuhuru na yule dogo mtetea dili la Dowans.

Ukweli hauwezi kutoka kwako. Chamsingi wewe kajinyonge!
 
CHADEMA kinaweza kuwa mbadala wa CCM lakini safari bado ngumu. mana kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo CHADEMA inathibitisha kufanana na CCM. Angalia uchaguzi wao wa mwenyekiti taifa, uchaguzi wa mwenyekiti vijana, viti maalumu vya 2005, angalia gogoro la chacha wangwe lilivyoshughulikiwa, nk. CHADEMA lazima ikubali kujisahihisha ili iwe mbadala wa CCM, nafasi ipo. Lakini kwa CHADEMA hii tunayoiona, wapi. labda tuseme tumechoka CCM kula peke yao, tuwape na CHADEMA wale. lakini sio tofauti katika maadili na demokrasia. anaebisha alete tofauti moja hadi nyingine kati ya CHADEMA na CCM katika eneo la uongozi na maadili tujadili hapa. wote ni ubabaishaji mtupu. Ni kweli watanzania wanahitaji chama mbadala, na CHADEMA ingependeza kuwa mbadala, lakini siyo CHADEMA hii ambayo bado inafanya uchaguzi wa mbowe na kivuli.. bado. bado sana...
Kitu chochote kile ambacho kinakua kina maudhui yake na pia Demokrasia sio uchaguzi bali hata mazungumzo na kukubaliana wote wawili, Demokrasia ya Kweli inaanzia kwenye mazungumzo , Sasa ndio walivyofanya CHADEMA, katika uchaguzi hivyo ni vyema walifanya imesaidia sana katika kujenga CHADEMA
 
Acha udini na ubishi unaonekana kabisa una agenda yako ya siri hapa, ukweli ni KWamba ni chama mbadala kwa CCM

"CHADEMA CHAMA CHA KANISA"

Mkuu Joshi Michael, kama kunena haya ni kigezo cha kuwa mdini, basi Mdini sio mimi bali walio nena haya.

Rejea Waraka wa kanisa katoliki Tanzania

BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA (TEC)
MPANGO WA KUHAMASISHA HUDUMA YA KICHUNGAJI KATIKA JAMII
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2010
Idara ya Kichungaji TUME YA HAKI NA AMANI - TEC
MPANGO WA KUHAMASISHA HUDUMA YA KICHUNGAJI

KATIKA JAMII KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2010


"...... CCM na CUF kwa kanisa ni mfano wa mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo... ., hivyo tumekutana viongozi wote na tumekubaliana kuelekeza nguvu zetu katika CHAMA CHETU CHA CHADEMA...."



 
"CHADEMA CHAMA CHA KANISA"

Mkuu Joshi Michael, kama kunena haya ni kigezo cha kuwa mdini, basi Mdini sio mimi bali walio nena haya.

Rejea Waraka wa kanisa katoliki Tanzania

BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA (TEC)
MPANGO WA KUHAMASISHA HUDUMA YA KICHUNGAJI KATIKA JAMII
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2010
Idara ya Kichungaji TUME YA HAKI NA AMANI - TEC
MPANGO WA KUHAMASISHA HUDUMA YA KICHUNGAJI
KATIKA JAMII KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2010


"...... CCM na CUF kwa kanisa ni mfano wa mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo... ., hivyo tumekutana viongozi wote na tumekubaliana kuelekeza nguvu zetu katika CHAMA CHETU CHA CHADEMA...."


Umeanza kwa kuonyesha kuwa CHADEMA ni chama cha Kidini, Sasa sema wewe mwenyewe kuwa nani mdini kati ya CHADEMA na vyama vingine, basi kama ndio hivyo CCM ndio Wadini?? Mbona uongozi wote wa juu ni waislam?? Acha kuongea masuala ya udini au CHADEMA ni chama cha kanisa wakati sio ukweli Mkuu, watu watakushangaa sana kuona unatoa tuhuma kama hizi wakati sio kweli
 
Mkuu Ulamaa naomba kutokubaliana na hoja ya udini CHADEMA.CHADEMA wapo viongozi wa kiislamu kibao kama wakina Zitto Kabwe na Bob Makani.
Nijuavyo mimi CHADEMA si chama cha siasa bali ni NGO ya kina Ndesamburo,Mtei na Mbowe.Mkuu Ulamaa unafanya kosa kubwa sana kusema CHADEMA ni chama cha siasa.Mkuu Ulamaa hii ni NGO kwa asilimia zote bana usitake ni nicheke bure.

Kwakuwa CHADEMA si chama cha siasa kama baadhi ya wanajamvi wanavyotaka kutuaminisha si rahisi kuwa chama mbadala kwa CCM mpaka kitakapoamua kuwa chama cha siasa siku za usoni kitu ambacho hakijafanyika na hakitafanyika chini ya uongozi wa mtuhuru na yule dogo mtetea dili la Dowans.
MAAMKIZI YA AMANI KWAKO MKUU KABONDE.

Nashukuru kwa maoni yako mazuri, ila nashangaa kuona baadhi ya wana jamii waliojibu wanavyoshindwa kubaini hoja za kimantiki na kukimbilia udini.

Hoja niliyoitoa ni kwamba CHADEMA ni chama cha Kanisa, kwa maana ni Taasisi ya kisiasa ya KANISA. Haya wameyasema wakatoliki katika waraka wao rejea "Waraka wa kanisa katoliki Tanzania". Yawezekana Huna waraka huu.

Sasa hapa tutambue kuwa kumilikiwa na kanisa ni kitu kimoja, na udini ni kitu kingine. Mfano kuna hospitali nyingi hata za rufaa zinamilikiwa na kanisa, lakini watu wa dini zote hupata huduma kwa usawa bila ubaguzi.

Swali: Kwa hiyo mtu akisema Bugando ni hospitali ya Kanisa, ni udini???!, Bila shaka sio udini kwa sababu ni kweli hiyo ni Hospitali ya Kanisa.

Sasa waraka huo umebainisha madhumuni ya Taasisi hiyo ya kisiasa(CHADEMA) kwa KANISA. Ni udini na uchochezi wa hatari.

Kwa mantiki hiyo CHADEMA NIKATAMBUA SIO CHAMA MBADALA WA CCM KWA MASLAHI YA WATANZANIA NA TAIFA.
 
the wananchi need to change bana!! sio vyama. kuna tofauti kati ya mtu anayeleta maendeleo jimboni kwake kwa hela zake, na mtu anayepigania maslahi ya taifa ili fedha zipatikane kuleta maendeleo nchi nzima.

we need to pembua nani ana-interest binafsi na nani anauchungu na national issues--Loliondo, Yaeda Chini, Buzwagi and the likes.

Unakuta mbunge kam-radi ka maji kamepelekwa jimboni kwake, basi yakitokea ya Loliondo yeye kimya tu, Buzwagi yeye ndo hajiusishi-Kimya kabisa.
 
Back
Top Bottom