tHe NapSTer of Tz
Member
- Mar 30, 2007
- 86
- 1
Habari wanaJf,
Mimi najiuliza maswali kuhusu haya mazngumzo yaliopamba moto siku za karibuni, tangu Mh. J. Kikwete ( respect) aingie madarakani mazungumzo kuhusu UIFISADI (TU-taushinda) ambayo siku zote watu wkiongea lazima wata-involve serikali. Sijui kwanini?
Either fisadi huyo atakuwa serikalini au serikali iko involved!....
Mimi naomba 2wafichue mafisadi popote walipo! Ndani na nje ya serikali, kabla ya kuingia madarakani tuwe tushawafichua and prosecute them!.. Hasa hasa kwenye vyama vya siasa ambapo ndipo viongozi wanapotokea. Vyama vyote, chama tawala na vyama pinzani!...
Tuwe kama msumeno, tukate kote kote, hapo ndipo tutaushinda UFISADI!!
Mimi najiuliza maswali kuhusu haya mazngumzo yaliopamba moto siku za karibuni, tangu Mh. J. Kikwete ( respect) aingie madarakani mazungumzo kuhusu UIFISADI (TU-taushinda) ambayo siku zote watu wkiongea lazima wata-involve serikali. Sijui kwanini?
Either fisadi huyo atakuwa serikalini au serikali iko involved!....
Mimi naomba 2wafichue mafisadi popote walipo! Ndani na nje ya serikali, kabla ya kuingia madarakani tuwe tushawafichua and prosecute them!.. Hasa hasa kwenye vyama vya siasa ambapo ndipo viongozi wanapotokea. Vyama vyote, chama tawala na vyama pinzani!...
Tuwe kama msumeno, tukate kote kote, hapo ndipo tutaushinda UFISADI!!