Recent content by Ukombo Mongi

  1. U

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif: Nimekusanya matokeo kutoka vituo vyote ninaongoza, aitaka ZEC imtangaze mshindi

    tusubirie...ila hayo ndo matokeo siku zote Znz
  2. U

    JamiiForums Tanzania Masumbuko Lamwai: Waliomchagua Ndugai hawakuchagua kiongozi....

    Sam SITa uko wapi...?? wape semina hawa spikas...hawajielewi kabisa...lkn kuna laana iliachwa na sita ndo maana kiti kinakuwa cha moto...wakatambikee...ila Ndugai akapimwe ubongo labda kuna tatizo kidogo..
  3. U

    JamiiForums Tanzania Askofu KKKT: Hivi ndivyo wapinzani walivyosababisha vurugu bungeni

    anajipendeze CCM ili aendelee kupate msamaha wa Kodi ili amalizie ile miradi yake..Aache ufisadi wa kidini akafanye siasa....
  4. U

    JamiiForums Tanzania Mkosamali: Mrema anajipendeleza alipwe mafao

    Nimegundua kwenye siasa kuna unafiki mkubwa sana...mf. CDM na CUF leo wameungana kesho itakuwa vingine...NSSR waliiunga mkono CCM kuchukua Halmashauri na kukataa kuungana na CDM..leo wameungana kinafkii.. Mrema ndo hajijambui..labda umri..
  5. U

    JamiiForums Tanzania Live! Updates: Gambia Vs Tanzania - Leo ni kulinda heshima

    hongera Gambia...kwa kujua mlichohitaji..
  6. U

    JamiiForums Tanzania EZEKIEL MAIGE: Mbunge wa Msalala CCM, NAIBU Spika,Hakuwa sahihi kutomsikiliza Mbowe!

    Ndugai alisomea sharia chuo gani! nani wasiwasi na elimu yake ya sharia...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

    Ni ujinga na uhuni pia kwa naibu spika kufukuza wabunge wa upande mmoja tu...wakati tunaona upande wa pili wakivunja taratibu...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Lyatonga Mrema tukueleweje?

    anajipendekeza ccm ili apewe mafao ya Unaibuu waziri mkuu..anazeeka vibaya...ndo ubunge wake wa mwishoo.. amekwesha kisiasa...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Madiwani CCM kutua CHADEMA ;MBOWE AWAKARIBISHA, AWAPA MBINU

    Inaonekana wewe huna hata radio ya mkulima kujua kinachoendelea kuhusu sakata hili....wambea ni wale viongozi wa ccm mkoa wa kagera na Nape wanaobishana kuhusu kuwafukuza au la..
  10. U

    JamiiForums Tanzania Luis gustavo kutua arsenal!!!

    wewe huijui Arsenal...msimu huu itatisha!!!
  11. U

    JamiiForums Tanzania Serikali imeshindwa kudhibiti mauaji

    Pinda: "....kwa sababu tumechoka sasa..."
  12. U

    JamiiForums Tanzania Kazi ya ualimu

    is this way you write to communicate with your professors / instructors at the college? you are not serious!! Please, can you be serious?
  13. U

    JamiiForums Tanzania Hii ya wakimbiza mwenge na jezi za CCM imekaaje ?

    Nikisikiaga mwenge Napata kichefuchefu bse nilifukuzwa shule wiki 1 kwa kushindwa kulipia mchango wa mafuta na mbio za mwenge...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    kuna kubwa linakuja...natoa unabii....
Back
Top Bottom