Luis gustavo kutua arsenal!!!

Luis gustavo kutua arsenal!!!

HAZINA YETU

Senior Member
Joined
Mar 29, 2013
Posts
174
Reaction score
33
Katika hali inayoonyesha prof arsene wenger amedhamilia kuondoa ukame wa vikombe pale emirate inasemekana yupo kwenye hatua za mwisho za kumsainisha kiungo wa the bavarians luis gustavo kwa uhamisho wa pound millioni 14.!!!!!!big up proff mwaka wetu huu!!!1
 
Hebu mkuu tutendee haki wanamichezo, tupe chanzo cha taarifa yako.
 
habari iko wazi mkuu kwenye vyanzo vingi ila imeanzia metro:kama vp cheki coughtoffside.com au daily mail

Mitandao ya kizushi na udaku...hiyo ndo ilimleta higuain arsenal falcao chelsea alcantara man u n.k

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
huyu babu wenger sitaki hata kumsikia simpendi huyo mzee km nn yani majigambo yooote yale kuwa mwaka huu tutatisha kwenye soko la usajili mpaka sasa hatuna hata uhakika wa kumpata hata nyota mmoja mm ni arsenal fan lkn naitakia arsenal msimu mbaya kuliko yote mwaka huu
 
you what this guy is a loser uzushi mtupu huo hizo story za kahawa
 
Yule bek wa kat toka may vp ameshatua???(williams),Higuain naye vp??Suarez naye mmmmhhhhhhh!!Leo kawaamishia kwa gustavo???Mpaka dirisha lifungwe ndipo atasema anasubiri dirisha dogo aweze kuboresha kikos kwan km pesa ya usajiri hipo
 
Kumuamini Wenger mpaka nishuhudie mchezaji anakabidhiwa jezi kinyume na hapo ni uzushi tu kama ilivyokuwa kwa higuani na wengine.
 
Wenger nahisi hajui anahitaji nn?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
bora mmchukue huyo mctusumbue na suarez wetu
 
huyu babu wenger sitaki hata kumsikia simpendi huyo mzee km nn yani majigambo yooote yale kuwa mwaka huu tutatisha kwenye soko la usajili mpaka sasa hatuna hata uhakika wa kumpata hata nyota mmoja mm ni arsenal fan lkn naitakia arsenal msimu mbaya kuliko yote mwaka huu

Punguza jazba jombaaa muda wa kuvuna umefika si umeona adhabu aliyopewa man city.
 
huyu babu wenger sitaki hata kumsikia simpendi huyo mzee km nn yani majigambo yooote yale kuwa mwaka huu tutatisha kwenye soko la usajili mpaka sasa hatuna hata uhakika wa kumpata hata nyota mmoja mm ni arsenal fan lkn naitakia arsenal msimu mbaya kuliko yote mwaka huu

wewe huijui Arsenal...msimu huu itatisha!!!
 
Bado ni tetesi,lakini jamaa anaujua, ni def mildfielder mkali tu.........
 
Kashasajiliwa na timu nyingine jerumani kule...porojo za arsenal msimu huu nmezikubali

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom