Lyatonga Mrema tukueleweje?

Lyatonga Mrema tukueleweje?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,949
Reaction score
38,701
Mwenyekiti huyu wa TLP hasomeki vizuri.
Utamsikia mara kwa mara akiwabeza wanasiasa wenzake wa upinzani na kumsifia Mwenyekiti wa CCM. Amefanya hivi mara nyingi tu.

Amekibinafsisha chama cha TLP kuwa chake binafsi kama alivyofanya Mzee Mapesa wa UDP.

Wakati wa uchaguzi mkuu 2010 hakuwa tofauti na Mbatia wa NCCR kwa kutumia muda wao mwingi kujinadi nafasi za Ubunge huku wakimnadi mgombea wa CCM nafasi ya urais. Tabia kama hizi ni za usaliti hivyo hazifai kufanywa na mtu ambaye amepitia mafunzo ya kijeshi kama yeye. Anapaswa sasa kukaa pembeni ili kuruhusu chipuo jipya la wanasiasa wa upinzani wa kweli kuendeleza harakati ambazo yeye anazisaliti kwa sasa.
 
Mwelewe kwamba ana ganga njaa alisha achana na upinzani ni mwana CCM tu a
 
Hivi hicho kina wanachama kweli? Alienda kucheza kiduku kwenye mkutano Dodoma akaachiwa jimbo la Vunjo. Kama alivyo Mapesa na Mbatia hawa ni wapinzani wa upinzani. Sioni ubaya kwa wao kujitangaza ni CCM kwani kujiunga na chama cha siasa ni hiari ya mtu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ni haki kabisa sasa kumuunganisha na Mtikila wa DP kwa namna wanavyoongoza vyama wanavyomiliki.

Tendwa amestaafu na kuacha historia MBAYA kabisa kwa namna alivyosimamia maadili ya sheria ya usajili wa vyama. Kutwa alikuwa anafukuzana na kusumbuana na CHADEMA bila kuangalia vyama kama hivi ambayo vimekiuka usajili wake kwa muda mrefu.
 
anajipendekeza ccm ili apewe mafao ya Unaibuu waziri mkuu..anazeeka vibaya...ndo ubunge wake wa mwishoo.. amekwesha kisiasa...
 
Ni haki kabisa sasa kumuunganisha na Mtikila wa DP kwa namna wanavyoongoza vyama wanavyomiliki.

Tendwa amestaafu na kuacha historia MBAYA kabisa kwa namna alivyosimamia maadili ya sheria ya usajili wa vyama. Kutwa alikuwa anafukuzana na kusumbuana na CHADEMA bila kuangalia vyama kama hivi ambayo vimekiuka usajili wake kwa muda mrefu.

Sidhani Mtikila wa DP anapata ruzuku kama UDP na TLP!
 
Unakumbuka kwenye kila kikao cha Mbatia na taasisi yake(CHADEMA walisusia),Kikwete alimwambia waziri wake amtengenezee mafao mazuri ya kustaafu Bw Lyatonga?
 
Ndugu wana JF huyu mzee na yule mzee wa mapesa na profesa uchwara Lipumba kweli wana njaa kupitiliza kipimo. Hivi watu wazima kama wale kwa maisha ya kinafiki kama yale wanajionaje katika jamii maana ni aibu kubwa sana kwa binadamu kuishi na kusaliti kitu ambacho unakiamini ili kupata kamkate ka kila siku. Huyu mzee na kina mbatia ni CCM na ndiyo wapinzani wakuu wa vyama vya upinzani ni vyema wananchi wakawatambua na kuwakataa ili wakalambe makombo huko CCM maana ni watu hatari katika jamii. Shame on these WANAFIKIs.
Mwelewe kwamba ana ganga njaa alisha achana na upinzani ni mwana CCM tu a
 
Malipo ya awali ya Mbatia ya kujibananisha na mgombewa urais wa CCM yalikuwa ni kushindwa kupiga kura kwenye jimbo lake la Kawe. Yaani Tume ya Uchaguzi hawakuliweka jina lake kwenye daftari la wapiga kura na HAKUPIGA KURA.

Malipo ya pili ni kuteuliwa Mbunge... Kwa hili limewekwa kwa sura ya kuuhadaa ulimwengu kwamba CCM inawashirikisha wapinzani kwenye maongozi ya nchi ilihali inawateua watu wake waliomo upinzani.

Ila bado nataka kujua kama Mzee wa Kiraracha kama anasimamia misingi yake ile ile iliyomkimbiza CCM kwenda upinzani ama naye amenunulika baada ya kupigika kijiweni
 
Huyu anajulikana kua ni Gamba! Makao makuu ya ofisi yake jengo linazidi kuchakaa tu! Ata rangi inawashinda kupaka! Ndo ubunge wa kupewa huo na system!
 
Mwenyekiti huyu wa TLP hasomeki vizuri.
Utamsikia mara kwa mara akiwabeza wanasiasa wenzake wa upinzani na kumsifia Mwenyekiti wa CCM. Amefanya hivi mara nyingi tu.

Amekibinafsisha chama cha TLP kuwa chake binafsi kama alivyofanya Mzee Mapesa wa UDP.

Wakati wa uchaguzi mkuu 2010 hakuwa tofauti na Mbatia wa NCCR kwa kutumia muda wao mwingi kujinadi nafasi za Ubunge huku wakimnadi mgombea wa CCM nafasi ya urais. Tabia kama hizi ni za usaliti hivyo hazifai kufanywa na mtu ambaye amepitia mafunzo ya kijeshi kama yeye. Anapaswa sasa kukaa pembeni ili kuruhusu chipuo jipya la wanasiasa wa upinzani wa kweli kuendeleza harakati ambazo yeye anazisaliti kwa sasa.

I can not let my country go to the dogs!
 
MREMA na MWANDOSYA hawatajakaa wamsahau KIKWETE kwa ufadhili wa ghali matibabu india
 
hivi kumbe Mrema bado yupo , vipi uso wake umeacha kubabuka? bado ana mawazo ya kugombea Urais?
 
Mwenyekiti huyu wa TLP hasomeki vizuri.
Utamsikia mara kwa mara akiwabeza wanasiasa wenzake wa upinzani na kumsifia Mwenyekiti wa CCM. Amefanya hivi mara nyingi tu.

Amekibinafsisha chama cha TLP kuwa chake binafsi kama alivyofanya Mzee Mapesa wa UDP.

Wakati wa uchaguzi mkuu 2010 hakuwa tofauti na Mbatia wa NCCR kwa kutumia muda wao mwingi kujinadi nafasi za Ubunge huku wakimnadi mgombea wa CCM nafasi ya urais. Tabia kama hizi ni za usaliti hivyo hazifai kufanywa na mtu ambaye amepitia mafunzo ya kijeshi kama yeye. Anapaswa sasa kukaa pembeni ili kuruhusu chipuo jipya la wanasiasa wa upinzani wa kweli kuendeleza harakati ambazo yeye anazisaliti kwa sasa.

Huyu babu atakufa ana smile
..........anawashukuru wapigakura weke kwa kusmogeza karibu na Mheshimiwa..... kwani kila alipopata upenyo alikuwa anakumbushia.,......... ki..inua mgongo chake cha unaibu waziri mkuu.....ameshakipata.....unataka umsikie tena ili iweje.......aseme CCm ni mbaya?.........siasa za TZ ni ngumu saana...usipokuwa makini unaishia kuganga njaa tu.....huoni Mbatia....alikuwa ameshapotea kwenye ramani kabisa......na kuchoka huoni sasa mpaka na uso umengaa???????....so Mrema kwa sasa huwezi msikia kabisa TLP ni mali yake bila yeke....kawazidi akili viongoze wenzio wote...........
 
Mabeberu waliwatumia vibaraka kupenyeza maslahi yao kwenye nchi zetu wakati wa vuguvugu la ukombozi.

Haiyumkiniki CCM inatumia sytle ya mabeberu kupenyeza na kutumia vibaraka kudhoofisha upinzani ili nchi isipige hatua za maendeleo
 
Back
Top Bottom