Recent content by uhojoli

  1. U

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Hata mimi nimekwama kwenye hii hatua ukipata solution unijuze.Sipati ushirikiano mzuri na namba za Msaada za BRELA zilizopo kwenye mtandao.
  2. U

    Correct this card info or try a different card-Google Play Store

    Habari wadau, Nimekutana na changamoto katika kufanya malipo kwenye akaunti ya Google kwa ajili ya kupata huduma ya Google Play Store. Napata error message "<i>Correct this card info or try a different card.</i>" Nimeweka infomration za kadi ya malipo sahihi kabisa kwa kadi tatu tofauti 1 moja...
  3. U

    Dr. Louis Shika ni fursa tumtumie

    Ha ha ha, maneno anayoyazungumza yako connected. Nilimuona mtu makini pale alipotaka kuhakiki kama mwandishi ametype URL correct wakati anafungua website yake.
  4. U

    The Tanzania Effect

    Naona sasa inashika kasi
  5. U

    KIBITI: Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mangwi wauawa kwa kupigwa risasi

    Why Viongozi? na Polisi? Why not Raia wa Kawaida?
  6. U

    Karibuni Pamoja Building Society-PBS

    KARIBUNI WAGENI PAMOJA BUILDING SOCIETY Asante kwa kuwa nasi, Tumeamua kutumia fursa hii ili kuondokana na umasikini hasa kwa wajasiliamali wenzetu. Karibuni pamoja tujenge jamii yetu. NAMNA YA KUANZA (1) Daraja la kwanza utaweka *SH 10,000/-, Utachangiwa na watu wawili na utapata SH20,000/-...
  7. U

    Manowari za Marekani hazikuwa zinaelekea Korea Kaskazini

    America kashindwa kuputa mchanga,kwa hiyo kasanda. Sent from my itel it1550 using JamiiForums mobile app
  8. U

    Manowari za Marekani hazikuwa zinaelekea Korea Kaskazini

    Kauli za Kiumeni kabisa hizo. Sent from my itel it1550 using JamiiForums mobile app
  9. U

    Kim Jong Un anaposema yupo tayari hatanii

    Mkuu Vita ni Strategy.wingi wa silaha si hoja. Pia Marekani kuangalia sheria za kimataifavsi kweli alikuwa against hizo sheria wakati anawachapa kina Iraq na wengineo. Sent from my itel it1550 using JamiiForums mobile app
  10. U

    Naamini atakachofanywa North Korea na Marekani kitakuwa ni Funzo ulimwenguni

    Applications of Projectile Motion. Physics form V.
  11. U

    Naamini atakachofanywa North Korea na Marekani kitakuwa ni Funzo ulimwenguni

    Kwa kusema tech anayotumia Korea ni ya 1945.ni ushabiki dhahiri,maana si kweli.wenyewe wamarekani wamekubali kuwa wana uwezo wa kupiga marekani.vita ni ishu nyingine.
  12. U

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    Mtoka pabaya,Real Estate ni wigo mpana. Kuuza apartment ni moja tu ya strategy zao na pia ni beneficial.kumbuka price set huwa imeshaangalia lufe span ya mjengo,na factor nyinginezo.hiyo ni sawa na kusema serikali au kampuni isiuze gari zake bado zinaonekana zinadai,huku maintenance cost...
Back
Top Bottom