Mtoa mada nikupongeze kwa mada fikirishi, yapo ambayo umenena vyema pia yapo ambayo umepotoka ( umezungumza kwa mazoea na mwishoni ukutoa hitimisho nn kifanyike?.
Nakiri mm ni Mwalimu, siyo kweli kada ya Ualimu ni yakimaskini, fanya tathmini vizuri ukakubaliana na mm. Wapo walimu wanamaisha...
Mola atusaidie kwa kweli Mana bila huruma yake hali itazidi kuwa mbaya....Kama kunawa,,kutumia sanitizer na kuvaa barakoa ndiyo ingekuwa kinga natiba sahihi basi mataifa makubwa Watu wake wasingepukutika hivi. Tumrudie Mola na tumuombe sana atuhurumie.
Uo ni uanajeshi wa kizamani, Nguvu na mabavu kwa watu wasiojua kutumia silaha, walipa Kodi ambao ndio wananunua sare zao na viatu. Siamini Kama Askari jeshi wa aina hiyo bado wapo vikosini. Ngoja mamlaka husika zitachukua hatua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.