Recent content by Ubungo Mataa

  1. Ubungo Mataa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Wasingesambazi mlango bahari wa Harmouz tungeujuaje? Si tulikuwa tunausikia tuu kwenye TV? Lakin huoni tumekuja kuuona laivu?
  2. Ubungo Mataa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kamwe Mwanaume usije fanya hili jambo. Ndo chanzo kikubwa cha kupoteza Uanaume wako na kudharauliwa na mwanamke

    Asante, ila hatutoi wala kupokea ushauri wowote kwa sasa.
  3. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Nimepanda public transport kwa mara ya kwanza nikamuona mtu akiperuzi JamiiForums

    Mtego. Kuna watu baada ya muda watatoa mlio.
  4. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuchomoka Kwenye Mtego wa Umaskini wa Siri wa Tabaka la Kati (how to escape on The Middle Class Trap)

    Hakuna kitu rahisi duniani kama kutengeneza umaskini.. Kila mtu anaweza
  5. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Makonda ondoka Arusha

    Wewe na nani mkuu hamumtaki??
  6. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Walevi nawaomba hapa leo

    Utakuja kunishkuru mkuu.
  7. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Kumbe yule jamaa ndio anaitwa toilet paper?
  8. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana elimu gani?

    Punguza makali mkuu. Sema hata ni darasa la saba la mkoloni.
  9. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Kwanini chakula Cha MSIBANI ni kitamu?

    Mk MKuu ngoja siku tukija kwako kwenye msiba wa first born wako ndio tutajadili hili. Tutaomba utueleze kama ubwabwa wa hapo nyumbani kwako ni mtamu
  10. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Walevi nawaomba hapa leo

    hii inatakiwa iwe starter mkuu.. Anza na hii kitu, utakaa bar mpaka waanze kukusanya vitu na kuzima TV.
  11. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana elimu gani?

    "Sikusoma sana, nilifika hadi kidato cha nne.. Sikufanya vizuri" Hivi hii kauli ilikuwa ya nani?
  12. Ubungo Mataa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Piga chini mkuu, utakufa mapema kwa stress
  13. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Nilikuwa namsikilizia yesu afufuke, naona tayar GG
Back
Top Bottom