Recent content by Ubungo Mataa

  1. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Hivi ni show time au short time?

    Ni short time mkuu, mara nyingi huwa ni nusu bei ukiongea vizur na mtu wa mapokezk. Muhimu sana kukumbuka bullet. #Pesa zipo bank.
  2. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Vipi mkuu mpaka sahivi umeshakunya laki ngapi? #PESA zipo bank
  3. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Namba kazi

    Ndio ndio #PESA ipo bank
  4. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni Simba yenyewe, umbumbumbu ni mwingi kuliko weledi.

    Hongera sana mkuu, wewe mwenye akili nyingi. Una Scania ngapi barabarani mkuu? Au hii thread umeipandisha ukiwa kwenye chumba cha kupanga huku ukiwatukana matajiri? #PESA ipo bank
  5. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Mitego ya Mitandao: Changamoto za Online Dating ukiwa Mtu Mzima (Umri 30+)

    Naam, ni story ndefu. #PESA zipo bank.
  6. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    Wachaga huwajui wewe, labda kama unaongelea wachagga wa kuchemsha bila chumvi. #Pesa ipo Bank.
  7. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu alimuona Adam anafanya nini hadi akaona si vyema awe peke yake?

    Kumbe ni Bakari Nondo ma watu hawasemi?
  8. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la wanawake kukosa heshima kwa waume zao nini kipo nyuma ya haya yote?

    Wanawake wana heshima sana mkuu, very submissive. Tafuta hela mkuu
  9. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya marketing au reception

    Njoo tukopeshe simu za mkopo mkuu, malipo ni hapo hapo ukimalizana na mteja. Door to Door utapiga pesa sana. Ikiwezekana ufunge safar uende mkoani. Pesa iko mingi DM
  10. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Wasingesambazi mlango bahari wa Harmouz tungeujuaje? Si tulikuwa tunausikia tuu kwenye TV? Lakin huoni tumekuja kuuona laivu?
  11. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Kamwe Mwanaume usije fanya hili jambo. Ndo chanzo kikubwa cha kupoteza Uanaume wako na kudharauliwa na mwanamke

    Asante, ila hatutoi wala kupokea ushauri wowote kwa sasa.
  12. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Nimepanda public transport kwa mara ya kwanza nikamuona mtu akiperuzi JamiiForums

    Mtego. Kuna watu baada ya muda watatoa mlio.
  13. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuchomoka Kwenye Mtego wa Umaskini wa Siri wa Tabaka la Kati (how to escape on The Middle Class Trap)

    Hakuna kitu rahisi duniani kama kutengeneza umaskini.. Kila mtu anaweza
  14. Ubungo Mataa

    JamiiForums Tanzania Makonda ondoka Arusha

    Wewe na nani mkuu hamumtaki??
Back
Top Bottom