Recent content by Ubungo Mataa

  1. Ubungo Mataa

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Wasingesambazi mlango bahari wa Harmouz tungeujuaje? Si tulikuwa tunausikia tuu kwenye TV? Lakin huoni tumekuja kuuona laivu?
  2. Ubungo Mataa

    Nimepanda public transport kwa mara ya kwanza nikamuona mtu akiperuzi JamiiForums

    Mtego. Kuna watu baada ya muda watatoa mlio.
  3. Ubungo Mataa

    Jinsi ya Kuchomoka Kwenye Mtego wa Umaskini wa Siri wa Tabaka la Kati (how to escape on The Middle Class Trap)

    Hakuna kitu rahisi duniani kama kutengeneza umaskini.. Kila mtu anaweza
  4. Ubungo Mataa

    Makonda ondoka Arusha

    Wewe na nani mkuu hamumtaki??
  5. Ubungo Mataa

    Walevi nawaomba hapa leo

    Utakuja kunishkuru mkuu.
  6. Ubungo Mataa

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Kumbe yule jamaa ndio anaitwa toilet paper?
  7. Ubungo Mataa

    Rais Samia ana elimu gani?

    Punguza makali mkuu. Sema hata ni darasa la saba la mkoloni.
  8. Ubungo Mataa

    Kwanini chakula Cha MSIBANI ni kitamu?

    Mk MKuu ngoja siku tukija kwako kwenye msiba wa first born wako ndio tutajadili hili. Tutaomba utueleze kama ubwabwa wa hapo nyumbani kwako ni mtamu
  9. Ubungo Mataa

    Walevi nawaomba hapa leo

    hii inatakiwa iwe starter mkuu.. Anza na hii kitu, utakaa bar mpaka waanze kukusanya vitu na kuzima TV.
  10. Ubungo Mataa

    Rais Samia ana elimu gani?

    "Sikusoma sana, nilifika hadi kidato cha nne.. Sikufanya vizuri" Hivi hii kauli ilikuwa ya nani?
  11. Ubungo Mataa

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nilikuwa namsikilizia yesu afufuke, naona tayar GG
Back
Top Bottom