Recent content by Uboratz

  1. U

    JamiiForums Tanzania Wana JF yamenikuta ya huyu binti mwenye mtoto, tafadhali naombeni ushauri

    Kwa hiyo familia mzima wanakutaka wewe tu[emoji15][emoji15][emoji848], kuna mambo mawili tu hapo. 1.Wewe ni mpango wa familia 2.Binti yao kashondikana wanatafuta pa kumtua.
  2. U

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo wana siku 10 za kumteua mrithi wa Maalim Seif Sharrif Hamad

    Kuwa mtu wa karibu wa Maalim au ambaye anafanana na sifa za Maalim isiwe kigezo katika mapendekezo. Mazingatio: 1.Sifa binafsi katika kusimamia ustawi wa watu? 2.Uadilifu? 3.Ufahamu wake katika siasa za Zanzibar na msimamo wake kuhusu maridhiano. 4.Ufahamu wake kuhusu fursa za kiuchumi za...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Karibu nikusaidie kuagiza bidhaa kutoka United Arab Emarates (UAE)

    Nahitaji NIKON D850 au Canon 5D Mark IV..Bei zikoje Boss
  4. U

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mambo makubwa matatu ambayo Bernad Camilius Membe anamzidi Tundu Antipas Lissu!

    Hivi BM alifika cheo gani cha ukachero??Naomba kujuzwa[emoji120]
  5. U

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

    Na imejengwa kwa fedha za ndani na Mkandarasi wa ndani... TUNAWEZA[emoji123][emoji123]
  6. U

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

    Huyu mheshimiwa ana uwezo wa kufikiri nje ya mfumo uliopo na kuwasilisha mawazo yake hata kama wote hamuyaamini... "HE IS MY ROLE MODEL" Nukuu: Kishimba "Kama tumefanya business as usual na hakuna matokeo chanya kwa nini tusijaribu kufanya maamuzi kinyume na mazoea yetu..." Tuna wajibu wa...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Noah inazingua sana (linamiss na kuwaka taa ya check engine) naombeni msaada

    Nibadili pressure sensor. Ikatulia sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Naomba tukubaliane kutokubaliana[emoji120][emoji120] kwa Muktadha huu kuna mtu atakuja niambia kuwa OCS, OCD,RPC and DCI ni rank lakini hazina nembo rami kama ilivyo IGP (Rank=Nembo rasmi) Sent using Jamii Forums mobile app
  9. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Sent using Jamii Forums mobile app
  10. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Nielekeze polepole ndugu nitarlewa tu[emoji120][emoji120][emoji120] Rank ya andengenye alipokuwa mkuu wa zimamoto ni ili? Na mambo yake? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Sidhani kama kuna mwenye monopoly ya taarifa...Jukwaa lipo kwa ajili ya kujifunza sio kujua nani unajua zaidi..Na kwa message yako pia najifunza. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Kwa hiyo tuhitimishe kwamba "IGP wa JMT ni Commissioner Sirro"???? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Hapo inasema official Rank ya mwisho ya police ni CP? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Naomba unijibu Rank Za polisi zinaanzia ili mpaka ipi?? Je wakati Sirro anaapishwa Mangu alikuwa na cheo gani? Then nitakuelewa... Sent using Jamii Forums mobile app
  15. U

    JamiiForums Tanzania RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    IGP ni cheo rasmi cha kipolisi...But CDF ni madaraka ndio maana CDF wa JMT ni General Mabeyo....Lakini huwezi sema IGP wa JMT ni Commissioner Sirro. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom