HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
acha upumbav mtoa mada, narudia tena acha upumbumbav hilo ni kaburi na taabu ya maisha inakuita, kama una akili timamu achana na huyo mwanamke, narudia tena kwa capital leters ACHANA NA HUYO MWANAMKE atakuja kukuvurugia maisha yako yote we mchukulie mzaha, usirudi nyuma ata akienda kwa rais! SHETANI ANA NGUVU SANA