Habari za majukumu wakuu?
Nahitaji msaada wa information. Kuna mzigo wangu nimeuagiza kutoka huko ugaibuni. Sema huu mzigo una utata kidogo.
Sasa nilikuwa nahitaji kama ningepata afisa wa TRA anisaidie japo mawazo tu ili niokoke kwenye hili janga. Maana naona ni kama jumba bovu linataka...
Habarini wakuu!
Nimekuwa nikitafuta tafuta vipesa kwa muda mrefu, ila nimebahatika kupata kama milioni 5. Napenda kuwekeza kwenye chakula hasa mahindi. Tatizo ninalopata ni kuwa nimepata vipesa hivi wakati msimu wa kulima mahindi kwa mvua umepita!
Nimekuwa nikiwaza waza sana, nikawa natamani...
Nikiwa na miaka 20 hivi nilikutana na jamaa mmoja kwa mara ya kwanza nikasikia kitu cha tofauti ila sikujua kama ndio kupenda. Nikapenda kuwa muda wote karibu yake, jamaa akagundua nadhani ni kwa kuwa yeye alikuwa mkubwa nae akawa karibu yangu.
Tukaanza mahusiano, japo jamaa ni mtulivu sana na...
Usimavyo labda ni kweli mkuu, sidhani kama ni uchafu au kutopikiwa vizuri au kukalipiwa kunawafanya wanaume watoke nje ya mahusiano yao. Wapo wanawake wanafanya hayo yote hata si kwasababu ana mme ndani bali kwa kuwa anaona ni vyema kuishi mazingira safi na kula vitu vilivyopikwa vizuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.