Waungwana ninamajanga naomba ushauri wenu

mohamedi-2

Member
Feb 15, 2015
72
92
Nimebahatika kuoa mke tukabahatika kupata watoto wawili mapacha wa kike na wakiume tunamiaka 10 ndani ya ndoa tatizo linalonisibu niliyumba katika biashara zangu kwakua Mimi nidalali wakuuza magari nilipoona biashara haziendi ikanibidi niende kwamganga kwakua biashara zetu maranyingi tunatunia ndumba

Nilipokwenda mganga kaangalia kwenye darubini yakee akaniambia tatizo lipo kwamkewangu Mke Wangu anajini mbaya ananizuilia biashara zangu akanitengenezea Dawa akanipa nikatumie namkewangu nilipofika nyumbani nikamueleza yote Mke alikataa kutumia zile Dawa nilipo mbana sana akaniambia jini analo ila nilakumsaidia yeye sio lakunidhuru Mimi .

Baada yahapo nilikaa kama miezi 3 nikaona hakuna mabadiluko nikaenda kwamganga mwengine nae akaniambia vilevile kua Mke ndio tatizo nikimwambia Mke Wangu twendekwamganga hataki mpaka sasa nimesha kwenda kwa waganga5 wote wanasema mkewangu ndio tatizo naombeni ushauri wenu je nimuache nioe mwengine au nifanye nini.
 
Ukienda kwa Mungu mkeo hatakuwa na jini tena na biashara yako itaenda sawia, japo utahitaji kuongeza nguvu kidogo katika utafutaji.
 
Siku nyingine ukienda kwa mganga wakati anakuangalizia mbaya wako.. mwambie "..na mimi nataka nimuone huyo mbaya wangu sitaki unihadithie.."

Huenda huyo huyo mganga ndio kakuroga halafu anamsingizia mkeo...

 
Nimependa tu unavyoandika. Hakuna cha kituo wala koma. Pengine ni hilo jini la mkeo ndo limesababisha aina hii ya uandishi.

Utamaliza waganga na wachawi wote duniani lakini bila ya kuzingatia kanuni za msingi za kibiashara na kujifunza kujishabihisha na mwenendo wa kiuchumi hakuna kitakachobadilika. Pia kumbuka kwamba Yesu Kristo ndiye kiboko cha majini yote na yakisikia tu jina lake likitajwa katika imani ya kweli na neema basi hukimbia na kutokomea huku na huko humo yakitafuta nyumba nyingine ya kujisitri.
 
Nimebahatika kuoa mke tukabahatika kupata watoto wawili mapacha wa kike na wakiume tunamiaka 10 ndani ya ndoa tatizo linalonisibu niliyumba katika biashara zangu kwakua Mimi nidalali wakuuza magari nilipoona biashara haziendi ikanibidi niende kwamganga kwakua biashara zetu maranyingi tunatunia ndumba

Nilipokwenda mganga kaangalia kwenye darubini yakee akaniambia tatizo lipo kwamkewangu Mke Wangu anajini mbaya ananizuilia biashara zangu akanitengenezea Dawa akanipa nikatumie namkewangu nilipofika nyumbani nikamueleza yote Mke alikataa kutumia zile Dawa nilipo mbana sana akaniambia jini analo ila nilakumsaidia yeye sio lakunidhuru Mimi .

Baada yahapo nilikaa kama miezi 3 nikaona hakuna mabadiluko nikaenda kwamganga mwengine nae akaniambia vilevile kua Mke ndio tatizo nikimwambia Mke Wangu twendekwamganga hataki mpaka sasa nimesha kwenda kwa waganga5 wote wanasema mkewangu ndio tatizo naombeni ushauri wenu je nimuache nioe mwengine au nifanye nini.
Badili biashara
 
Mke umekaanae miaka 10 mambo yako yamezorota muda huu. Achana na waganga watakuzidisha umasikini kukuachanisha na mke wako na kuwazorotesha watoto. Au mganga kakupa dawa za kukuharibia ndoa.
 
Ulikosea tangu mwanzo kwa kuamini na kutumia nguvu za giza badala ya kumtanguliza Mungu wako na utaalamu na mbinu za kibiashara, inawezekana wewe umeumbwa na mashetani kwa hiyo endelea kusaka masangoma na masema uongo mpaka uishiwe kabisa ndio akili zitakurudia na Muumba wako anakukomesha!
 
Kuna meseji kuna MTU alinitumia alikosea namba nikacheka sana, ngoja niitafute niiweke hapa huenda ni Wewe mkuu
 
Kanisani mzee utapata huduma bure, ebu jaribu maana haikugharimu chochote
 
Meseji yenyewe hii hapa chini

Babu Shikamoo? Nashukuru Sana Kwa Kazi Nzuri Ulionifanyia,kazini Nimerudishwa Na Madai Yangu Yote Nimelipwa,pia Biashara Ya Mke Wangu Imefunguka. Sina Cha Kukupa Ila Mungu Akubariki Sana. Leo Mchana Nitakutumia Unga Na Mchele. Mwambie Mohammed Jioni Wakachukue Pale Stendi Kwa Bakari, Ahsante Sana Babu
 
Nimebahatika kuoa mke tukabahatika kupata watoto wawili mapacha wa kike na wakiume tunamiaka 10 ndani ya ndoa tatizo linalonisibu niliyumba katika biashara zangu kwakua Mimi nidalali wakuuza magari nilipoona biashara haziendi ikanibidi niende kwamganga kwakua biashara zetu maranyingi tunatunia ndumba

Nilipokwenda mganga kaangalia kwenye darubini yakee akaniambia tatizo lipo kwamkewangu Mke Wangu anajini mbaya ananizuilia biashara zangu akanitengenezea Dawa akanipa nikatumie namkewangu nilipofika nyumbani nikamueleza yote Mke alikataa kutumia zile Dawa nilipo mbana sana akaniambia jini analo ila nilakumsaidia yeye sio lakunidhuru Mimi .

Baada yahapo nilikaa kama miezi 3 nikaona hakuna mabadiluko nikaenda kwamganga mwengine nae akaniambia vilevile kua Mke ndio tatizo nikimwambia Mke Wangu twendekwamganga hataki mpaka sasa nimesha kwenda kwa waganga5 wote wanasema mkewangu ndio tatizo naombeni ushauri wenu je nimuache nioe mwengine au nifanye nini.
Mkuu achana na hao waganga kabisa
 
Back
Top Bottom