moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
mkuuUhusiano ni endless boss ikitokea ajali Basi iwe Bahati mbaya
hujajibu swali nililokuuliza
mkuuUhusiano ni endless boss ikitokea ajali Basi iwe Bahati mbaya
Hujaeleweka unahisi mimi ni demu?Mkuu future wife?😀😀😀😀😀 Unapoamua kuvaa uhusika wa kiume kwenye movie, jitahidi kufuata script ya kiume.....sasa wewe unatoka nje ya script.....hii ndio mara ya kwanza kuwa na aidiii mchepuko?🙁🙁🙁🙁🙁🙁 Sarcasm.
Ndio ni kutokujiamini....!mkuu unataka umaanishe kuchukua tahadhari ni kutokujiamini?
Hapana sijahisi hivyo.Hujaeleweka unahisi mimi ni demu?
kama ni hivyo bora nionekane sijiaminiNdio ni kutokujiamini....!
ndo yule alokupeleka gerezani au ni mwingine???? jst to know. kikikikkkkkkkDear future X ,utakua unanipa kipolo nakipasha.?
hahahaah...siyo yule,Future X bado hajapatikana,ndo yule alokupeleka gerezani au ni mwingine???? jst to know. kikikikkkkkkk
hii lugha ya malki bhana, sijui nilivyoona x tu nikajua ni ulieachana naye. sikuangalia Future kwa kweli.hahahaah...siyo yule,Future X bado hajapatikana,
Mwambie na wew maneno mazuri sasaDear Future Husband aaaaaah
So lovely wordsNatamani kukuonesha zaidi ni kiasi gani maisha yako yatakuwa yenye furaha kuanzia siku ambayo nitafunga pingu za maisha nawe. Nimepanga uione kila dakika katika maisha yako ya ndoa, kuwa ni nyakati nzuri za kukumbukwa. Nitakusifia kwa uzuri na tabia, siku zote kwa sababu umekuwa wa thamani sasa mpaka siku hiyo ambayo utakuwa ukimiliki sehemu kubwa ya maisha yangu.
Sijambo rahisi kusema nimekubali kukukabidhi maisha yangu, na kuwa nitatumia miaka yangu iliyobaki kuwa na wewe peke yako. Naahidi kukukabidhi funguo za moyo wangu wa upendo nilioufunga; ukiamua unaweza kuzimeza au kuzitupa ili nisiweza kufungua kwa mwingine.
Sitaki hata kufikiria maumivu yatakayoletwa na siku hiyo ambayo tutagombana. Nahisi moyo wangu utasimama na kuacha kufanya kazi yake kwa muda kama injini iliyokataa kuwaka. Lakini katika kila nyakati mbaya zitazopita, naahidi kusimama imara kukuonesha ni kiasi gani nimeamua kuwa na wewe mpaka siku nitakayotangulia.
Nakupenda kiasi ambacho umeweza kuwa shahidi wa penzi langu kwako, naahidi sintakuumiza.
Ndio nipo humuuFuture wife yuko humu?
mkuu usijali,vp unataka untafutie.?hii lugha ya malki bhana, sijui nilivyoona x tu nikajua ni ulieachana naye. sikuangalia Future kwa kweli.
loooh poor me.
unanitega eeeeeh loooohmkuu usijali,vp unataka untafutie.?
hapana mkuu nifanyie kaziunanitega eeeeeh looooh