Kwa Mungu asiefanya kazi hali. Hizo habari za kuchawia watu unapata pesa kirahisi rahisi hamna. Kula kwa jasho dear!Unamaanisha kwa Mungu biashara itakua ngumu kidogo?
Siku ukiambiwa utoe mapacha wako utaelewa somo..,zNimebahatika kuoa mke tukabahatika kupata watoto wawili mapacha wa kike na wakiume tunamiaka 10 ndani ya ndoa tatizo linalonisibu niliyumba katika biashara zangu kwakua Mimi nidalali wakuuza magari nilipoona biashara haziendi ikanibidi niende kwamganga kwakua biashara zetu maranyingi tunatunia ndumba
Nilipokwenda mganga kaangalia kwenye darubini yakee akaniambia tatizo lipo kwamkewangu Mke Wangu anajini mbaya ananizuilia biashara zangu akanitengenezea Dawa akanipa nikatumie namkewangu nilipofika nyumbani nikamueleza yote Mke alikataa kutumia zile Dawa nilipo mbana sana akaniambia jini analo ila nilakumsaidia yeye sio lakunidhuru Mimi .
Baada yahapo nilikaa kama miezi 3 nikaona hakuna mabadiluko nikaenda kwamganga mwengine nae akaniambia vilevile kua Mke ndio tatizo nikimwambia Mke Wangu twendekwamganga hataki mpaka sasa nimesha kwenda kwa waganga5 wote wanasema mkewangu ndio tatizo naombeni ushauri wenu je nimuache nioe mwengine au nifanye nini.
Mkuu waganga waongo, wazandiki, wafitin na wauaji hao watakuharibia ndoa yako cha muhimu kama kwel unamuamin Mungu achana na habar za waganga mrudie Mungu mshauri na mke wako aachane na majin na yy aongokeNimebahatika kuoa mke tukabahatika kupata watoto wawili mapacha wa kike na wakiume tunamiaka 10 ndani ya ndoa tatizo linalonisibu niliyumba katika biashara zangu kwakua Mimi nidalali wakuuza magari nilipoona biashara haziendi ikanibidi niende kwamganga kwakua biashara zetu maranyingi tunatunia ndumba
Nilipokwenda mganga kaangalia kwenye darubini yakee akaniambia tatizo lipo kwamkewangu Mke Wangu anajini mbaya ananizuilia biashara zangu akanitengenezea Dawa akanipa nikatumie namkewangu nilipofika nyumbani nikamueleza yote Mke alikataa kutumia zile Dawa nilipo mbana sana akaniambia jini analo ila nilakumsaidia yeye sio lakunidhuru Mimi .
Baada yahapo nilikaa kama miezi 3 nikaona hakuna mabadiluko nikaenda kwamganga mwengine nae akaniambia vilevile kua Mke ndio tatizo nikimwambia Mke Wangu twendekwamganga hataki mpaka sasa nimesha kwenda kwa waganga5 wote wanasema mkewangu ndio tatizo naombeni ushauri wenu je nimuache nioe mwengine au nifanye nini.
Matapeli haoMeseji yenyewe hii hapa chini
Babu Shikamoo? Nashukuru Sana Kwa Kazi Nzuri Ulionifanyia,kazini Nimerudishwa Na Madai Yangu Yote Nimelipwa,pia Biashara Ya Mke Wangu Imefunguka. Sina Cha Kukupa Ila Mungu Akubariki Sana. Leo Mchana Nitakutumia Unga Na Mchele. Mwambie Mohammed Jioni Wakachukue Pale Stendi Kwa Bakari, Ahsante Sana Babu