kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Mkishakutana njooni tufanye biashara ya drip irrigation
Shamba linapatikana ni PM kama uko tayariMm mtu anisaidie tu kupata shamba hekar mbili kwa ajili ya vitunguu maji aisee nitashukur sana
Tukaribishane, na mimi nataka nije huko ila sina mqenyejiMkuu mm nipo moro nalima karibu tushirikiane
nipo interested napatikana 0767102102Natafuta MTU wa kuweza kushirikiana tuanzishe kilimo cha umwagiliaji ,hususani kilimo cha matunda Na mbogamboga nataka MTU ambaye yuko makini Na anafahamu kilimo ili tufanye kilimo chenye tija.
Thanks sana 0769044870Mkuu mm nipo moro nalima karibu tushirikiane
Karibu sana, naweza kuwa mwenyeji wako na shamba lipo njoo na mtaji na nguvu zako tu. Karibu MorogoroTukaribishane, na mimi nataka nije huko ila sina mqenyeji
Mkuu wewe uko maeneo gani? Na mashamba yanauzwa kuanzia shilling ngapi? Je kuna maji karibu tupate kumuagilia kama mvua zikigoma? Ninahitaji sana.Karibu sana, naweza kuwa mwenyeji wako na shamba lipo njoo na mtaji na nguvu zako tu. Karibu Morogoro
Maharage ardhi ya Moro c nzuri kwa kilimo cha maharageMkuu m nataka ardhi heka mbili za kukodi apo Moro nilime maharage niunganishe na wakodishaji plz
Nipo maeneo ya tungi lkn kuna mashamba maeneo ya mkono wa mara kule jirani na gereza la Kingorwila kuna mto ngerengereMkuu wewe uko maeneo gani? Na mashamba yanauzwa kuanzia shilling ngapi? Je kuna maji karibu tupate kumuagilia kama mvua zikigoma? Ninahitaji sana.
Ni Pm mkuu tuongeeNatafuta MTU wa kuweza kushirikiana tuanzishe kilimo cha umwagiliaji ,hususani kilimo cha matunda Na mbogamboga nataka MTU ambaye yuko makini Na anafahamu kilimo ili tufanye kilimo chenye tija.
Mkuu soo ntakutafuta naweka mambo sawaMimi nina vifaa vya umwagiliaji vya heka saba full.
Generator .sprayer .na solar kwa ajili ya matumizi ya kawaida .
Nipo tayali wewe toa mchakato na mnyumbulisho wa contribution yako
OkMkuu soo ntakutafuta naweka mambo sawa
Ndugu nadhani utakua unakosea kusema ardhi ya Morogoro sio nzuri kwa kilimo cha maharage. Morogoro kubwa sana ndugu yangu. Morogoro hiyo hiyo watu wanalima maharage na wanavuna.Maharage ardhi ya Moro c nzuri kwa kilimo cha maharage