Recent content by tzbuddy

  1. tzbuddy

    Mbunge Ally Kessy: Road licence ihamishiwe kwenye mafuta(petrol & diesel)

    Naunga mkono hoja,hii hata wasio na magari watalipa maana itakuwa ndani ya nauli ya daladala,maana hata wao wanatumia barabara.
  2. tzbuddy

    Chumba kimoja cha kupanga needed

    Mtu mwenye chumba kimoja cha kupanga,kiwe na choo na bathroom ndani,security na parking.please inbox nikuunganishe na muhitaji. Preferable maeneo ni, Kijitonyama,mikocheni Victoria kinondoni,upanga. Mtu anayehitaji anakaa dodoma,Ila mara moja moja anakuja dar,ndio maana security ni muhimu mda...
  3. tzbuddy

    Chumba cha kupanga

    Mtu mwenye chumba kimoja cha kupanga,kiwe na choo na bathroom ndani,security na parking.please inbox nikuunganishe na muhitaji. Preferable maeneo ni, Kijitonyama,mikocheni Victoria kinondoni,upanga. Mtu anayehitaji anakaa dodoma,Ila mara moja moja anakuja dar,ndio maana security ni muhimu mda...
  4. tzbuddy

    Tracing Macbook apple

    Asanteni wadau nitakwenda kuwatembelea Hao watalaam wa Ips
  5. tzbuddy

    Tracing Macbook apple

    Mac address ni nini Ila nilisha isign na icloud email....
  6. tzbuddy

    Tracing Macbook apple

    Unaweza kunipa more info ya hiyo ofisi ili niweze kwenda
  7. tzbuddy

    Tracing Macbook apple

    Iko sign on
  8. tzbuddy

    Tracing Macbook apple

    Kama Kuna mtu ni mbaya wa IT,natoa ajira ya kuitafuta Macbook yangu ilioibiwa.Kama uko serious njoo Inbox
  9. tzbuddy

    Tracing Macbook apple

    Hello Wajameni, Kuna kibaka kaniibia Macbook yangu,kama Kuna mtu anaweza kuitrace ikapatikana,basi zawadi nono ipo,watu wa IT wachangamkie ajira hii.Come inbox
  10. tzbuddy

    Umeme Kigamboni ni cancer

    Hello wajameni! Kwa wanaoishi pande hizi za Kigamboni watakubaliana na mimi kuwa umeme huku ni Janga. Kwanza mdogo,then unakatika katika kama disco light,au ukatike masaa 18...,Tanzania ya viwanda wakati microwave haiwaki sijaelewa kabisa hii dhana.
  11. tzbuddy

    Road License

    Wana JF any magic trick,nadaiwa TRA road license ya gari la miaka 6 nyuma.Gari ilishapata ajali na kuuzwa spea long time.Any magic trick kupambana na hii shida.
  12. tzbuddy

    Umeme wa Kigamboni,Tanesco.

    Hello Wana JF, Pamoja na kushikwa Boss wetu wa JF,wote tupo pamoja nae. Sasa bana nimehamia huku Kigamboni Takribani miezi 11 sasa. Kero namba moja,licha ya umeme kukatika katika hovyo hovyo pia hata unapopatikana unakua mdogo sana.Yaani unawasha taa,feni tena sometimes linapunguza speed almost...
  13. tzbuddy

    2016 US Election Results: Donald Trump has won the presidency

    Yaani ni Democrasia ya another level. Everything vipo live watu mnajijumlishia tu ukimzidi mwenzio hata kama kura bado zinaendelea kuhesabiwa, ikiwa umezidi nusu, unajitangaza mwenyewe na kutoa Victory speech. Je ni lini tutafika huko,tuachane na akina Jecha.?
  14. tzbuddy

    DStv yashusha bei za vifurushi, yajaza chaneli

    niko Compaq nimepunguziwa elfu 3,Mtu Yuko serious na Suti kali ananitangazia,Dstv yashusha bei...ungese huu
  15. tzbuddy

    Ardhi inauzwa kigamboni

    km ngapi toka barabara ya lami
Back
Top Bottom