Baptista Moses Cumudia
Member
- Oct 17, 2016
- 11
- 5
soma tangazo vizuri......sqm 800(40*20) ml 9/-Bei?
Bei ipo hapo juu, soma tangazo vizuri ndugu....Bei?
tzbuddykm ngapi toka barabara ya lami
Ndio kimepimwa kwa hati ni ni ya serikali ya mtaa/kijiji lakini kabla ukilipia nusu utasaini Sales agreement na mwanasheria wangu ruksa pia kuja na mwanasheria wako, picha 2 za passportsize.Kimepimwa ie. Kina hati?
Ni km 4.5 kwa makadirio ya juu ukitokea Tuangoma stand mpya ni kms 7 kwa makadirio ya juukm ngapi toka barabara ya lami
Hati zipo on processing zikitoka bei itapanda kiasi fulani kwasasa ni special offers.sisi madalali ndiyo tunawateja na baadhi ya wateja wetu hawana muda wa kuja kukagua so tunakagua na sisi tukikubali wao wanakuja kulipa , kama kina hati au offer please contact 0657 14 55 55