Umeme Kigamboni ni cancer

Umeme Kigamboni ni cancer

tzbuddy

Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
33
Reaction score
49
Hello wajameni!
Kwa wanaoishi pande hizi za Kigamboni watakubaliana na mimi kuwa umeme huku ni Janga.

Kwanza mdogo,then unakatika katika kama disco light,au ukatike masaa 18...,Tanzania ya viwanda wakati microwave haiwaki sijaelewa kabisa hii dhana.
 
Back
Top Bottom