To be honest sijawahi kuona mtu mwenye natural personal hate na nchi ya Tanzania kama raia wa Kenya. Wao always wapo negative kwa kila hatua ya kimaendeleo inayopigwa na Tanzania. Vichwa vikubwa kumbe ndani hamna kitu. Misaada yenye masharti na rushwa iliyo kithiri vitawachanganya vichwa zaidi...
Hata mimi ambaye simjui huyo mtu lakini baada ya kuangalia hizo video na kufananisha na zile za hadharani ukweli unabaki kuwa huyo ndie yule anayejiita askofu. Yaani Gwajima. Kidole hicho.
Use your brain. The contracts states clearly Mining and not exporting 'gold/copper concentrate. Ask yourself how do you calculate and collect tax from exported sand that is not mentioned in the initial contract.?
TZ we have a lot of developmental issues to sort out. Sticking to Makonda saga isnt taking us anywhere towards resolving our outstanding goals that we need to achieve. WHAT ARE THE ADVANTAGES AND DISADVANTAGES OF FIGHTING MAKONDA DOWN? JPM seen this from third angle. get back to work and think...
GuyZ have something constructive to think or waste energy talking about . otherwise y'all look like wankers .."THINK POSITIVE, THINK CONSTRUCTIVE" you heard it ' out of the horses' mouth. Get back to work if u have work to do for the TZ .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.