kuna sababu nyingi tu za kutoa kazi yako bure. mimi najua
Nyasiro anafanya kama hobbie so hatakuwa responsible kwa damage ya device ya mtu. au ubora usiotarajiwa. ila part ya software yake i mean database ya kamusi sio yeye aliyeandika. kwaiyo kama atauza haitakuwa fair kula hela peke ake.
jambo kubwa ni donation kama utaguswa na kazi za kijana huyu na utapenda kumsapoti ni kudonate kiasi unachoona unaweza si haba jamaa atapata motivation kuwa kazi yake inakubalika.
mie atleast nimefurahi kuona kitu kama oxford dictionary ila eng-swa-eng maana ile ya tuki mambo ya kufungulia kwenye browser inakuwa haina mashiko saana.
all in all goo job
Nyasiro tuko pamoja all the time