oi Kenya ni yetu nadhani ndio iliyoanza kufa, hapo kwenye red me hapo huwa nachungulia mara nyingi hakuna watu wanaochat so naingia chatzone trivia chat kuchemsha Bongo... jambochat nilimuuliza ggenius kuhusu main server iliyokuwa inabeba jambochat network akasema watu walipungua kufungua website yao wakaishut down but soon itafunguliwa upya.Leo nina hamu yakuchat nimekumbuka dar chat, darhotwire, kenyaniyetu.com arghhhh hivi mitandao hii ipo au ya aina hii jamani??
oi Kenya ni yetu nadhani ndio iliyoanza kufa, hapo kwenye red me hapo huwa nachungulia mara nyingi hakuna watu wanaochat so naingia chatzone trivia chat kuchemsha Bongo... jambochat nilimuuliza ggenius kuhusu main server iliyokuwa inabeba jambochat network akasema watu walipungua kufungua website yao wakaishut down but soon itafunguliwa upya.
Hizo chat zilidoda baada ya sheria kuwa nyingi na watu kupigwa ban kila kukicha zikafa kibudu... Mchaga ulikuwa unatumia nick gani oi..
huku nako kuna vitukobado ipo ila dar chat sasa hivi inapatikana kupitia Marafiki.com - making friends has never been so easy...
huku nako kuna vituko
kuna marafiki wa kila aina matangazo ya ma gay ma lesby tabu tupuVituko gani tena mammy...???
kuna marafiki wa kila aina matangazo ya ma gay ma lesby tabu tupu
bado ipo ila dar chat sasa hivi inapatikana kupitia Marafiki.com - making friends has never been so easy...
Hahahaaa.... Mkuu kama ulikuwako marafiki.com nahisi tushawahi kugongana huko, make nilikuwa active member enzi hizo!!
Ha ha haaa!!! Nimekuwa member kwenye marafiki.com for as along as I can remember so inawezekana tumeshawahi kugongana.
Unazikumbuka cupidbay.com, ujambo.com... Dah I miss them!!