Koromeo ubarikiwe,Thread yako ina maana sana.
Hivi leo mabinti wengi wanakaribia kutupita
sisi wanaume,kwa kujitoa muhanga kujishughulisha
wakati wanaume wanaona soo,eti watachekwa.
Binafsi naona ni heri uchekwe ukitumia nguvu zako
kutafuta kipato,kuliko kuchekwa unapoenda mahali kuombafedha...