Ukawa leo imeimalika zaidi, ahsante mungu.

Ukawa leo imeimalika zaidi, ahsante mungu.

Hivi mleta mada alitaka kila mtu atueleze nani anakubalika ktk eneo lake km ni hivyo huku tanga ni Hashim rungwe ndo mpango mzima aka midevu
 
Pale yenu mchana, wanakulaga Lunchi, kaka au yenu bar haupajui kaka. je na kwenye Basi la kwenda Mbezi JE? Tumia akiri kufikiri sawa- Au haujamuelwa ndiyomkuusana?
Nimekupenda ghafla Bintiwangara wiki ijayo nakuja Rulenge hope nitakutafuta.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nipo maeneo Geita na jana nilienda Chato yaani uko kila mtu ni Lowasa/UKAWA tu

mkuu mi nipo huku NYARUGUSU-GEITA Yaani huku kwenye taarifa ya habari watu wanaangalia taarifa za UKAWA huku wakitaka kumuona Kamanda E.LOWASSA akiongea.
 
Huku tarime kila kona ukipita ni lowasa hadi bendera za ukawa zinapepea kila sehem ndani ya mji wa tarime.

Teh teh teh.. Nyie maripota wetu mnaniburudisha kila kona ni lowassa.. Nadhani somo linaeleweka sasa.. Nahitaji kusikia ripoter mwingine kutoka nyanda za juu kusini....
 
Leo baada ya kujiuzuru mweshimiwa Lipumba, Muungano wa katiba wa wananchi UKAWA, unaonekana Kuimalika Zaidi, na Wananchi wapenda mabadiliko wamekwisha jua kwamba . Muheshimiwa Mbowe, Muheshimiwa Self Sharifu Hamad, na Mbatia ndiyo Wapiganaji wa Kweli Ndani ya Ukawa , Na hawa wamehapa Mgombea Wao, Mh. EL kushinda Uchaguzi mkuu Kwa kishindo zaidi.

Hali imekuwa hivyo hata Mitahani, nilikuwa Ubungo. Maeneo ya Yenu Bar napata lunchi, Asilimia kubwa ya watu mule ndani Wote walikuwa wanawafagilia sana Ukawa kwamba lazima Mzee EDO achukue nchi. ni watu wawili tu ndiyo waliokuwa wanamponda EDO . nikapanda basi la Kwenda Mbezi, ni UKawa tu kushika Dola, na Wengine wakadiliki kusema Mwaka huu, CCM watatumia Mbinu zote, Lakini Ukawa Kupitia Muheshiwa EDO, lazima Ukawa washinde.

Kuna Mmoja kasema hata huko Kanda ya ziwa ambako Magufuri anategemea kura nyingi, Wengi wanamuunga Mkono Edo. kuanzia Bukoba, Runzewe, kahama, Shinyanga ,Mpaka Mwanza ni Ukawa kwa kwenda Mbele:

Mzee Mmoja,naye alikuwa amepanda gari kwenda Mbezi Mwisho. Akatoa makadilio ya Ushindi wa lowasa kulingana na Kanda.

Kanda ya ziwa Edo anaweza kushinda kwa 70%
kanda ya kati ,Dodoma,Singida, tabora kwa 81%.

kanda ya Kaskazini Arusha,kilimanjaro,Tanga ,Manyara 99%

kanda ya Pwani Pwani, Dar es salaam ....... 68%

Nyanda Za juu kusini Mbeya, Iringa, Songea 72%

Kusini Lindi na Mtwara............................73%


Naishia kusema LOWASA anatisha Lazima CCM watafutane.
Kwikwikwi Waxee wa Ubaguzi ningeshangaa kama tathmini yenu isingekuwa ya aina hiyo.
 
Pale yenu mchana, wanakulaga Lunchi, kaka au yenu bar haupajui kaka. je na kwenye Basi la kwenda Mbezi JE? Tumia akiri kufikiri sawa- Au haujamuelwa ndiyomkuusana?


Nimekipenda kiSwahili chako.

Uwe unapita huku mara kwa mara uwachachafye hawa mafedhuli.
 
Leo baada ya kujiuzuru mweshimiwa Lipumba, Muungano wa katiba wa wananchi UKAWA, unaonekana Kuimalika Zaidi, na Wananchi wapenda mabadiliko wamekwisha jua kwamba . Muheshimiwa Mbowe, Muheshimiwa Self Sharifu Hamad, na Mbatia ndiyo Wapiganaji wa Kweli Ndani ya Ukawa , Na hawa wamehapa Mgombea Wao, Mh. EL kushinda Uchaguzi mkuu Kwa kishindo zaidi.

Hali imekuwa hivyo hata Mitahani, nilikuwa Ubungo. Maeneo ya Yenu Bar napata lunchi, Asilimia kubwa ya watu mule ndani Wote walikuwa wanawafagilia sana Ukawa kwamba lazima Mzee EDO achukue nchi. ni watu wawili tu ndiyo waliokuwa wanamponda EDO . nikapanda basi la Kwenda Mbezi, ni UKawa tu kushika Dola, na Wengine wakadiliki kusema Mwaka huu, CCM watatumia Mbinu zote, Lakini Ukawa Kupitia Muheshiwa EDO, lazima Ukawa washinde.

Kuna Mmoja kasema hata huko Kanda ya ziwa ambako Magufuri anategemea kura nyingi, Wengi wanamuunga Mkono Edo. kuanzia Bukoba, Runzewe, kahama, Shinyanga ,Mpaka Mwanza ni Ukawa kwa kwenda Mbele:

Mzee Mmoja,naye alikuwa amepanda gari kwenda Mbezi Mwisho. Akatoa makadilio ya Ushindi wa lowasa kulingana na Kanda.

Kanda ya ziwa Edo anaweza kushinda kwa 70%
kanda ya kati ,Dodoma,Singida, tabora kwa 81%.

kanda ya Kaskazini Arusha,kilimanjaro,Tanga ,Manyara 99%

kanda ya Pwani Pwani, Dar es salaam ....... 68%

Nyanda Za juu kusini Mbeya, Iringa, Songea 72%

Kusini Lindi na Mtwara............................73%


Naishia kusema LOWASA anatisha Lazima CCM watafutane.

Huku kanda ya ziwa ni full Lowasa tuuuuuuuuu. Kama walimteua huyo makufuri yao wakitegemea kura za huruma toka kwa watu wa KANDA YA ZIWA wamedanganywaaaaaaaaaa
 

Attachments

  • 1438900588039.jpg
    1438900588039.jpg
    40.7 KB · Views: 87
Leo baada ya kujiuzuru mweshimiwa Lipumba, Muungano wa katiba wa wananchi UKAWA, unaonekana Kuimalika Zaidi, na Wananchi wapenda mabadiliko wamekwisha jua kwamba . Muheshimiwa Mbowe, Muheshimiwa Self Sharifu Hamad, na Mbatia ndiyo Wapiganaji wa Kweli Ndani ya Ukawa , Na hawa wamehapa Mgombea Wao, Mh. EL kushinda Uchaguzi mkuu Kwa kishindo zaidi.

Hali imekuwa hivyo hata Mitahani, nilikuwa Ubungo. Maeneo ya Yenu Bar napata lunchi, Asilimia kubwa ya watu mule ndani Wote walikuwa wanawafagilia sana Ukawa kwamba lazima Mzee EDO achukue nchi. ni watu wawili tu ndiyo waliokuwa wanamponda EDO . nikapanda basi la Kwenda Mbezi, ni UKawa tu kushika Dola, na Wengine wakadiliki kusema Mwaka huu, CCM watatumia Mbinu zote, Lakini Ukawa Kupitia Muheshiwa EDO, lazima Ukawa washinde.

Kuna Mmoja kasema hata huko Kanda ya ziwa ambako Magufuri anategemea kura nyingi, Wengi wanamuunga Mkono Edo. kuanzia Bukoba, Runzewe, kahama, Shinyanga ,Mpaka Mwanza ni Ukawa kwa kwenda Mbele:

Mzee Mmoja,naye alikuwa amepanda gari kwenda Mbezi Mwisho. Akatoa makadilio ya Ushindi wa lowasa kulingana na Kanda.

Kanda ya ziwa Edo anaweza kushinda kwa 70%
kanda ya kati ,Dodoma,Singida, tabora kwa 81%.

kanda ya Kaskazini Arusha,kilimanjaro,Tanga ,Manyara 99%

kanda ya Pwani Pwani, Dar es salaam ....... 68%

Nyanda Za juu kusini Mbeya, Iringa, Songea 72%

Kusini Lindi na Mtwara............................73%


Naishia kusema LOWASA anatisha Lazima CCM watafutane.

Ukawa kuingia Ikulu na fisadi bado sana
 
Back
Top Bottom