Kwahiyo strategy CCM watajimaliza mapema sana!! Why? LOWASSA NA UKAWA wataweka hadharani mambo ya Escrow, uhusika wa mkulu Richmond, Ufisadi katika miradi ya barabara(Magufuli), uuzaji wa nyumba za serikali(Magufuli), Utajiri wa kutisha wa JK kupitia Rizimoko!!
Kwa kifupi, Ukawa wataelekeza silaha zao kushambulia mfumo wa CCM kama chama then Magufuli personally. Therefore wana two points of attack!!! CCM on the other hand wana one point of attack....kumshambulia LOWASSA personally only if they really need to destroy UKAWA!!!
VUTA-NKUVUTE
Kwa kifupi, Ukawa wataelekeza silaha zao kushambulia mfumo wa CCM kama chama then Magufuli personally. Therefore wana two points of attack!!! CCM on the other hand wana one point of attack....kumshambulia LOWASSA personally only if they really need to destroy UKAWA!!!
VUTA-NKUVUTE
Last edited by a moderator: