Paul Sozigwa amepotea katika mazingira ya kitatanishi

Paul Sozigwa amepotea katika mazingira ya kitatanishi

Asante sana. Hakuna siri hii habari ilishatolewa kwenye gazeti la Mwananchi wiki mbili tatu zilizopita. Kwa kuficha siri za familia ndiko kulikotufikisha hapa, kwani watu wengi walituonya kuhusu utapeli tukaona tusiuweke hadharani. Matokeo yake hatujui baba alipo na mama anagoma kutoa ushirikiano. Kwa mfano baba alipotea tangu jana mchana na yeye hakutoa taarifa kwa mtu yeyote wala polisi mpaka watoto tuliposituka wakati giza linaingia. Maombi yanahitajika sana. Tunashukuru kwa faraja!
Tupe ukweli kama mzee kapatikana na tupe mwendelezo wa kesi ya nyumba yake.
 
Umesimuliwa udaku nimeishi nao miaka yote sasa unaposema kila kitu sijui unamaanisha nn !! Huyu Moses ( aka bonge enzi za utotoni) tumesaga nae sana, mabasi na hata walipokuwa forodhani ilikuwa mara moja moja kuletwa na gari...tena asubuhi tu, mchana tunapiga mihogo kwa mzee Mselemo na kudandika ikarusi kwenda home..

Viatu ni bora tuu na hata watoto wa kawawa akina Amani walikuwa wanawacheka hawa..! Sasa wewe unataka kutuambia nn..? Sawa na haya majangili akina Rz1 ??
Ndugu yangu umenitajia Mzee Mselem , umenikumbusha mbali na Mihogo yake , ya kuchemsha , mwaitwa zamu kwenda kuuza ndani .Tukitoka hapo kwenda kwenye mapeasi ya sekondari kama una ndugu yuko sekondari unagonga nae wali wao na kabichi unanuka moshi wa kuni
 
Enzi ya Uhuru alitumikia nini? Wacha uongo.

Hao ndiyo waliiuwa nchi kwa kutetea siasa iliyokuwa haina kichwa wala miguu iliyoipelkea hii nchi kuwa masikini wa mwisho duniani. Huyo si ndiyo alikuwa akitangaza mazungumzo baada ya habari baada ya azimio la Arusha? sasa alitumikia nini wakati wa Uhuru?

Hapa tuongee kupotea kwake, lakini tusilete uongo.

Mbona watoka povu we mfuasi wa mgeuza nuru kuwa giza na giza kuwa nuru!! Tunawajua kazi yenu ndio hiyo kuugeuza ukweli kuwa uwongo na uwongo uonekane ukweli.....!
 
Jakaya alichofanyia huyu Mzee itamtafuna milele.... Imefikia kipindi mpaka mafao yake yalizuiliwa kisa tu alimpinga 2005 kwenye kamati ya maadili.... Ni laana kubwa sana
Malipo ni hapa hapa duniani. Na yeye akistaafu kuna siku tutasikia amepotea. Akipotea sijui nani atamtafuta!
 
Enzi ya Uhuru alitumikia nini? Wacha uongo.

Hao ndiyo waliiuwa nchi kwa kutetea siasa iliyokuwa haina kichwa wala miguu iliyoipelkea hii nchi kuwa masikini wa mwisho duniani. Huyo si ndiyo alikuwa akitangaza mazungumzo baada ya habari baada ya azimio la Arusha? sasa alitumikia nini wakati wa Uhuru?

Hapa tuongee kupotea kwake, lakini tusilete uongo.
bi mkubwa Bado umri kidogo utakuwa mchawi .ngoja ukawa tuchukue nje 25 october
 
Tunawashukuru wote waliokuwa pamoja na familia katika suala hili. Mzee Sozigwa amepatikana jana usiku na amesharudi mikononi mwa familia!

Tuendelee kuombeana na kutiana nguvu katika kumtunza Mzee wetu. Anahitaji uangalizi wa hali ya juu sana, na hili limetupa fundisho litakalotusaidia siku zijazo. Pia nawaomba wanajamvi tuendelee kuelimishana na kuwaelimisha watu wengine ya kuwa kuna ugonjwa huu unaoitwa Alzheimer, ambao unakula ubongo na kufanya mtu kupoteza kumbukumbu. Ugonjwa hauna dawa ya kuuponya mpaka sasa, ila kuna dawa za kutumia mtu anapokuwa katika hatua za awali kuzuia usiendelee! Tafadhali tuwatazame na kuwachunguza wazazi na ndugu tulio nao ili kama mtu akionyesha dalili kama hizo awahi kupata dawa ili usiendelee.

Sina namna ya kuwashukuru zaidi ya kusema kutoka moyoni, ASANTENI SANA!
 
Jakaya alichofanyia huyu Mzee itamtafuna milele.... Imefikia kipindi mpaka mafao yake yalizuiliwa kisa tu alimpinga 2005 kwenye kamati ya maadili.... Ni laana kubwa sana
Hii hadithi yako hapa haisaidii familia kumpata huyu babu wa watu. Poleni familia kwa kupotelewa
 
Kiongozi, hapa kova anahusika vipi?

He ukiona ya musa utaona ya....... kova anausikaje hujui? yeye si ndio kamanda wa polisi ni jukumu lake kuhakikisha watu walioreportiwa wako missing kuwatafuta! so kova anahusika na kumtafuta na kueleza na ndugu, jamaa na umma wa watanzania alipo!
 
Tunawashukuru wote waliokuwa pamoja na familia katika suala hili. Mzee Sozigwa amepatikana jana usiku na amesharudi mikononi mwa familia!

Tuendelee kuombeana na kutiana nguvu katika kumtunza Mzee wetu. Anahitaji uangalizi wa hali ya juu sana, na hili limetupa fundisho litakalotusaidia siku zijazo. Pia nawaomba wanajamvi tuendelee kuelimishana na kuwaelimisha watu wengine ya kuwa kuna ugonjwa huu unaoitwa Alzheimer, ambao unakula ubongo na kufanya mtu kupoteza kumbukumbu. Ugonjwa hauna dawa ya kuuponya mpaka sasa, ila kuna dawa za kutumia mtu anapokuwa katika hatua za awali kuzuia usiendelee! Tafadhali tuwatazame na kuwachunguza wazazi na ndugu tulio nao ili kama mtu akionyesha dalili kama hizo awahi kupata dawa ili usiendelee.

Sina namna ya kuwashukuru zaidi ya kusema kutoka moyoni, ASANTENI SANA!

Poleni sana Kiwi.Mwenyezi Mungu awajalie moyo wa uvumilivu ili muweze kumvumilia na kumtunza mzee wetu.Ni furaha kwetu pua kua kapatikana akiwa salama.
 
Tunawashukuru wote waliokuwa pamoja na familia katika suala hili. Mzee Sozigwa amepatikana jana usiku na amesharudi mikononi mwa familia!

Tuendelee kuombeana na kutiana nguvu katika kumtunza Mzee wetu. Anahitaji uangalizi wa hali ya juu sana, na hili limetupa fundisho litakalotusaidia siku zijazo. Pia nawaomba wanajamvi tuendelee kuelimishana na kuwaelimisha watu wengine ya kuwa kuna ugonjwa huu unaoitwa Alzheimer, ambao unakula ubongo na kufanya mtu kupoteza kumbukumbu. Ugonjwa hauna dawa ya kuuponya mpaka sasa, ila kuna dawa za kutumia mtu anapokuwa katika hatua za awali kuzuia usiendelee! Tafadhali tuwatazame na kuwachunguza wazazi na ndugu tulio nao ili kama mtu akionyesha dalili kama hizo awahi kupata dawa ili usiendelee.

Sina namna ya kuwashukuru zaidi ya kusema kutoka moyoni, ASANTENI SANA!

Tuko pamoja mkuu, kweli wazee wetu wanahitaji uangalizi wa karibu wa familia. Asante kutuhabarisha.
 
Ongera sana Kiwi kwa kupatikana kwa mzee Sozigwa
Mungu aendelee kuwapa namna na njia za kumtunza
hadi mwisho wa maisha yake,kama apendavyo Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Nimeona kwenye taarifa ya habari ITV saa 2 usiku huu kuwa Mzee Paul Sozigwa amepotea nyumbani kwake Magomeni. Huyu mzee alikuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM zama za Mwalimu JKN
Dah nasikitika sikutilia maanani lile tanagazo la ITV jana kumbe ni huyu shujaa? mungu amlinde arudi kwa familia yake akiwa salama!
 
Paul Sozigwa ni Mtu Mpenda maadili Sana ..mwaka 2005 yeye ndio alikuwa mkuu wa usalama na maadili wa ccm ...pamoja na Mtu mmoja anaitwa Kanali Mhando ( Huyu pia alitajwa kwenye Kesi maarufu ya milioni 900 ya Mrema )
Sasa Huyu bwana Sozigwa ndio aliongoza Jopo la maadili ambalo lilimkuta Jakaya na makosa ya kimaadili na kupendekezwa akatwe ....Jakaya alipenya Baada ya kujitahid Hadi ripoti ya Sozigwa isisomwe ......
Baada ya Urais wake ...Huyu Jamaa alikua furstrated Hadi akapata stroke ...alimshughulikia ipasavyo
 
jamani mzee kapatikana wapi? maana kuna taarifa kuwa jana alionekana morogoro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom