Ataeshindwa kucmama na bashe cyo mtanzania halisi ajuae shda halisa zakitanzania leo tar23/jun Mtwara sukari ya kirombero kg 25 wanauza 70500 na kg 20 wanauza 59500 wakat bei ya rejareja irshafkia 2600
Angalieni uwiano wa mechi na mkumbuke simba ajacheza na Namungo ambae ayuko kwenye hari mzuri kwenye msimamo wa ligi awez kukubari kupoteza kirahis na Azam pia ana kocha mpya anataka aiweke timu kwenye ushindani kwaio izoh mechi zoote cyo rahisi kama wanavyodhani mashabiki wengi wa simba
Kama atuna pesa hawa wasanii wa bongo freva na bongo movie sio wakuwaoa tuishie tu kuwaita ndugu ze2 na dada zetu nakumbuka ya Shamsha Ford pia, kiubwege ubwege tu mnaweza jikuta mnaharibiana maisha.
Kwenye Maisha Ivyo V2 Vyoote Vipo Kupanda Na Kushuka Kwa views Kwa Harmonize Kulinganisha Na Zuchu Haina Maana Zuchu Ndo Akawa Msanii Mkubwa Kuriko Harmonize Ila Hapo Ni Chuki Na Kasumba Tu Ilyoingia. Kama Unaweza Kumshauri Basi Mshauri Uyo Zuchu Atoke Wcb Muone Kama Ntapata Views Ata 6
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.