fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,686
- 24,005
Eh🥺Uongo,,hao mbilikimo ndio hula watu...ninaishi na Jamaa mkongo ambae kufika kwao lazima upite kijiji cha hawa mbilikimo huko Congo wanaitwa wambote achana nao hawa Jamaa kwa ukorofi na uchawi...unaambiwa wanatekaga treni wanafanya fujo.