Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,432
- 7,055
Kuna watu ni wazito wa kuconnect dots. Ngoja tuwasaidie.
Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry.
Umaarufu huo haukuwa na tija bali ulilenga kumjenga mwanasiasa huyu mkongwe kuja kugombea tena ubunge. Aliona akigombea Tabora itamgeuka, akahamisha goli makusudi ili kuficha dhamira yake. Siasa za hivi zinaboa
Ndio maana, Rais akaamua kutengua uteuzi wake na kumsitiri kwa kusema amestaafu. Ukweli ni kwamba alimshtukia kuwa naye ni miongoni mwa viongozi wenye tamaa. HARIDHIKI. Akamuweka kando
Tabora kuna vijana ni watendaji na wamehamasisha maendeleo ya kweli kwa muda mrefu. Umaarufu kwao si kitu, bali utendaji wenye impact
Leo nimefurahi kuona mmojawapo wa watu ninaowafahamu kuamua kujitokeza front kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni. Angalau maigizo yatapumzika.
Huyu chalii amekuwa Mwenyekiti wa asasi ya kiraia ya kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tabora (Tabora Economics and Social Development Organization -TESDO).
Anaitwa Hamisi Masoud Mtwale (sina uhakika na usahihi katika jina la mwisho). Nimeona amejitosa kuomba ridhaa katika Jimbo la Tabora Mjini.
Natamani wenye majina maarufu wakatwe na wapitishwe watu wa hivi. Wengi wamekaa kimaslahi zaidi badala ya kitumishi. Imagine mtu kama Steve Nyerere!!!
Tabora pamepata umaarufu wa mitandaoni hivi karibuni, kutokana na mbwembwe za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa, Aggrey Mwanry.
Umaarufu huo haukuwa na tija bali ulilenga kumjenga mwanasiasa huyu mkongwe kuja kugombea tena ubunge. Aliona akigombea Tabora itamgeuka, akahamisha goli makusudi ili kuficha dhamira yake. Siasa za hivi zinaboa
Ndio maana, Rais akaamua kutengua uteuzi wake na kumsitiri kwa kusema amestaafu. Ukweli ni kwamba alimshtukia kuwa naye ni miongoni mwa viongozi wenye tamaa. HARIDHIKI. Akamuweka kando
Tabora kuna vijana ni watendaji na wamehamasisha maendeleo ya kweli kwa muda mrefu. Umaarufu kwao si kitu, bali utendaji wenye impact
Leo nimefurahi kuona mmojawapo wa watu ninaowafahamu kuamua kujitokeza front kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uwakilishi bungeni. Angalau maigizo yatapumzika.
Huyu chalii amekuwa Mwenyekiti wa asasi ya kiraia ya kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii Tabora (Tabora Economics and Social Development Organization -TESDO).
Anaitwa Hamisi Masoud Mtwale (sina uhakika na usahihi katika jina la mwisho). Nimeona amejitosa kuomba ridhaa katika Jimbo la Tabora Mjini.
Natamani wenye majina maarufu wakatwe na wapitishwe watu wa hivi. Wengi wamekaa kimaslahi zaidi badala ya kitumishi. Imagine mtu kama Steve Nyerere!!!