3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Hellow Football Fans..!!
Kwenye soka kuna kuna aina mbalimbali ya vionjo vinavyochochea burudani zaidi.. Kuna style nyingi za kushangilia magoli pale mfungaji anapofunga na kushangilia goli lake.
Binafsi navutiwa sana na style ya mchezaji wa Bayern Munchen SERGE GNABRY.. ile style yake kama anakoroga KAHAWA kwenye kikombe naipenda sana.
Wewe je unavutiwa na style gani kwenye soka..?
HAPPY NEW YEAR
Kwenye soka kuna kuna aina mbalimbali ya vionjo vinavyochochea burudani zaidi.. Kuna style nyingi za kushangilia magoli pale mfungaji anapofunga na kushangilia goli lake.
Binafsi navutiwa sana na style ya mchezaji wa Bayern Munchen SERGE GNABRY.. ile style yake kama anakoroga KAHAWA kwenye kikombe naipenda sana.
Wewe je unavutiwa na style gani kwenye soka..?
HAPPY NEW YEAR