Wanafunzi Vyuo Vikuu Tanzania Hawawazi zaidi ya Boom? imekuwa ni jambo la kawaida kusikia na kuona kwenye vyombo vya habari wananafunzi vyuo vikuu tanzania wakigoma, mandamano kisa Boom halijatema,leo UDSM,kesho UDOM, keshokutwa TUMAINI,mara IFM sina maana kwamba wasomi wetu wasidai haki zao ila...
Naye ni Mtanzania , ana haki ya Kikatiba kufikiria, kuwaza, mpango wake mwenye bila kuingiliwa na mtu yoyote yule, kwahiyo ni urais tusubiri then tutapata ya kusema, please tuacha speculation.
ukweli wa Mungu siamini kama wasomi wetu wamefikia hatua ya kujisalilisha kitaaluma. Ila nilishasema Dodoma ni chuo mojawapo inaendesha kisiasa hapa nchini. Nawaomba tuwasamehe bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.