malkiory
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 270
- 24
Kitendo cha Kikwete kuishambulia Chadema kinaonesha ni kwa jinsi gani rais alivyozidiwa kisera/ujanja na Chadema, hivyo kubakia kujihami (defensive mechanism) kwa kile ambacho kinaweza kumtokea kama ilivyokwisha kutokea kule Egypt na Tunisia. Hotuba yake dhidi ya Chadema ni nyepesi mno na ni dalili tosha kuwa sasa rais huyo mwenye title nyingi, maji yapo shingoni na kwa mtizamo wangu nchi sasa inaongozwa na Chadema indirectly.