Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kitendo cha kamati na halmashauri kuu ya CCM kuamua kuwachukulia hatua E.L; R.A; na E.C bila ya kutoa kwao kwanza orodha ya mambo wanayotuhumiwa nayo na kuwataka kuwasirisha utetezi wao kwenye vyombo hivyo vya juu vya chama hicho ni ukihukwaji mkubwa wa haki za msingi za watumiwa hao kwa mujibu wa kifungu cha 13(6)(a) cha katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ukiukwaji huo unatoa mwanya kwa watuhumiwa hao, kubatirisha maamuzi yaliyochukuliwa dhidi yao katika siku zijazo.