Wanafunzi Vyuo Vikuu Tanzania Hawawazi zaidi ya Boom? imekuwa ni jambo la kawaida kusikia na kuona kwenye vyombo vya habari wananafunzi vyuo vikuu tanzania wakigoma, mandamano kisa Boom halijatema,leo UDSM,kesho UDOM, keshokutwa TUMAINI,mara IFM sina maana kwamba wasomi wetu wasidai haki zao ila misingi yanyu ni kwamba ni lazima tu iwe boom ndio wasomi wetu wagome na kuandamana? kama kioo cha jamii wasomi wetu wanatakiwa kuwa mifano hai wa kuigwa na jamii ya Kitanzania,hivyo wawe wanagoma na kuandamana na kutoa matamko mbalimbali kwa vitu vinavyo gusa jamii kwa ujumla endepo serikali na taasisi zake zimelega au kushindwa kutekeleza au mf: Constitution review bill, Richmond, Dowas, Loliondo Land issue, Kupanda kwa gharama za maisha to mention but a few. Wasomi wetu badilikeni.