MWANDUGU YEE CHUO KILICHOSAJILIWA AU KUPATA ITHIBATI HAKIRUHUSIWI KUENDESHA PROGRAMME ZA NJE BILA KUPEWA KIBALI NA NACTE BAADA YA KURIDHIA UBORA WA HIYO PROGRAMME HUKO INAKOTOKA NA UWEZO WA CHUO KUIENDESHA.
USHAURI WANGU NI KWA MSOMAJI KUTOJIUNGA NA PROGRAMME AMBAYO HAJAJUA KAMA IMERUHUSIWA...
Wadau msemayo ni kweli kabisa, sijui meseji hii tuiweke wapi ili iweze kuwafikia hao ndugu zetu ambao kwa njia moja au nyingine ndo sura ya kwanza ya shirika/taasisi. Ukikutana na receptionist/ secretary anayejua customer care na akafanya kazi hiyo vizuri ndipo shirika linasikika vizuri. Kwa...
Tuna kushukuru sana bwana Mbasamwoga kwa taarifa hii muhimu, ndugu zangu wanajamii Forum tuitumie hii ili tusipoteze muda na pesa zetu pia tuwasaidie wenzetu kuwajuza juu ya habari hii njema kwetu na kwa taifa letu.Thanks a lot
Level 1 -3 zinaitwa National Vocational Awards (NVA) zinasimamiwa na VETA na Level 4 - 10 zinaitwa National Technical Awards (NTA) zinasimamiwa na NACTE
Kuna form za kusajili chuo ambayo itatakiwa ujaze na uambatanishe vitu muhimu kama vile legal document ie, business license/ memorandum of understanding, chater, etc. pia mtaala wa kufundishia ambao umeidhinishwa na NACTE (Kabla ya kusajili chuo chako inakubidi uandae mtaala kwa mwongozo wa...
Naona unaongea kwa hisia siyo uhalisia, kuna vigezo vya chuo kuruhusiwa kutoa mafunzo na kwa ngazi ya shahada kuna vigezo maalumu, ili chuo kiweze kuruhusiwa kutoa mafunzo kwa ngazi ya shahada/digrii ni lazima kitimize vigezo hivyo vilivyowekwa na NACTE na siyo vinginevyo ndiyo maana vyuo vingi...
Ndugu zanguni naomba niwaelezee kuhusu NTA Levels na NACTE.
NTA ni kifupi cha neno National Technical Awards Kiswahili chake ni Tuzo za Elimu ya Ufundi, hizi ni tuzo za elimu ya ufundi nchini na NACTE ni kifupi cha neno The National Council for Technical Education kiswahili chake ni Baraza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.