Kuna form za kusajili chuo ambayo itatakiwa ujaze na uambatanishe vitu muhimu kama vile legal document ie, business license/ memorandum of understanding, chater, etc. pia mtaala wa kufundishia ambao umeidhinishwa na NACTE (Kabla ya kusajili chuo chako inakubidi uandae mtaala kwa mwongozo wa NACTE kuna vitabu mbalimbali vinavtotoa mwongozo wa kuandaa mitaala vinapatikana NACTE), source of fund apart from students' fee, evidence of premises ie own/hired, qualified human resources ie walimu, institutional master plan etc. ambazo zimeeleza kwenye form kisha utaambatanisha na barua yako ya kuomba usajili then you send it to NACTE. kwa Maelezo zaidi tembelea www.nacte.go.tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.