wauguzi tanzania muda wa masomo na mavazi

measkron

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
3,782
2,406
Wana jf naomba tujadili hapa kwani napata uchungu kuona hata taaluma inaendeshwa kisiasa, kusoma uuguzi miaka 2 source ITV news jana usiku, kutapunguza vifo vya kina mama? Nimejaribu kufanya mazungumzo na baadhi ya wauguzi kilimanjaro,Arusha na Tanga wengi wao wakisikitishwa na uamuzi huo, vyama vya wauguzi TANA, TAMA kama mnapita humu jamvini tunaomba mtoe maoni yenu. Pili ni mavazi ya wauguzi mkikumbuka walikuwa wanavaa gouns na vibandiko kichwani, nywele zimebanwa ama kusuka vizuri, vyote vimeondoka siku hizi, muuguzi unamkuta amesuka rasta zinafunika uso, maadali yako wapi? Siku kama ya leo ni sikukuu ya wauguzi duniani tunaomba wajadili mambo yenye tija kwa taifa ikiwemo kuangalia hjo usomaji wa uuguzi kwa miaka miwili sijui watasoma Medisurgical,General nursing, Community nursing, Midwefery kwa miaka miwili na kumaliza,.......
 
Ninavyofahamu mimi, Miaka milwili ni minimum requirement ya mtu kuweza kuruhusiwa kufanya kazi za uuguzi ambapo kwa sasa vyuo vilivyopo chini ya NACTE ikiwemo vyuo vyote vya wizara ya afya vinafuata mfumo wa National Technical Awards (NTA).
Miaka miwili inachukuliwa na mtu aliye maliza form four akafaulu vizuri masom ya sayansi na atasoma NTA Lelel 4 na 5, akitaka kuchukua diploma atasoma mpaka NTA LEVEL 6 na akitaka degree ataongezea NTA level 7 na 8 na hizo level zinaenda mpaka 10 ambayo ni PhD.
kwa maelezo zaidi kuhusu NTA system soma hapa National Technical Awards (NTA)

Zamani certificates ilikuwa miaka minne and diploma miaka minne lakini walivyo ipitia mitaala kwa mfumo mitaala inayozingatia ujuzi (competency based curricullum) walifanikiwa kupunguza muda na certificate sasa itakuwa miaka miwili na diploma ni miaka mitatu.

Kwa vyuo vikuu viko chini ya TCU na hivyo vitandelea na mifumo yao ambapo kwenye vyuo vingi vya uuguzi degree zao ni miaka minne kwa wale walio maliza form six na miaka mitatu kwa wale wenye diploma ya uuguzi.

Kuhusu swala la uniform nafikiri ni nguo yeyote itakoyo muwezesha muuguzi kufanya kazi confortable na kutambuliwa kuwa ni muuguzi na miongozo yake inatolewa na baraza la wauguzi na wakunga la Tanganyika.
 
Wana jf naomba tujadili hapa kwani napata uchungu kuona hata taaluma inaendeshwa kisiasa, kusoma uuguzi miaka 2 source ITV news jana usiku, kutapunguza vifo vya kina mama? Nimejaribu kufanya mazungumzo na baadhi ya wauguzi kilimanjaro,Arusha na Tanga wengi wao wakisikitishwa na uamuzi huo, vyama vya wauguzi TANA, TAMA kama mnapita humu jamvini tunaomba mtoe maoni yenu. Pili ni mavazi ya wauguzi mkikumbuka walikuwa wanavaa gouns na vibandiko kichwani, nywele zimebanwa ama kusuka vizuri, vyote vimeondoka siku hizi, muuguzi unamkuta amesuka rasta zinafunika uso, maadali yako wapi? Siku kama ya leo ni sikukuu ya wauguzi duniani tunaomba wajadili mambo yenye tija kwa taifa ikiwemo kuangalia hjo usomaji wa uuguzi kwa miaka miwili sijui watasoma Medisurgical,General nursing, Community nursing, Midwefery kwa miaka miwili na kumaliza,.......

Sasa ndio vifo na ulemavu utazidi miongoni mwa jamii. Kwani kazi yao haitakiwi kubahatisha kwani watakuwa wanacheza na maisha ya watu.

Usishangae mtu akapigwa sindano kwenye mfupa au kaandikiwa dawa za malaria akapewa dawa za kichocho.

Poleni sana
 
Kimsingi mtu antakiwa kufanya kazi kulingana na kiwango chake cha elimu. Kutokana na ufisadi wa elimu wa kutotaka kuajri wafanyakazi wa kutosha wenye viwango na mchanganyiko unaotakiwa ndio unakuta mtu anatakiwa kufanya hata vitu ambavyo hajaiva kuvifanya.
Ukiangalia jedwali la viwango vya kazi za hao wauguzi wenye certificate wanatakiwa kufanya vile vitu vya routines na vichanche vinavyo hitaji utaalamu mkubwa kiasi(NTA level 5)

Framework of Technical and Vocational Education and Training (TVET) Qualifications
S/N
QUALIFICATION LEVEL
QUALIFICATION AWARD
COMPETENCE LEVEL DESCRIPTORS
1.
NTA Level 1
Certificate of Competence Level I
The holder of the qualification will be able to apply “basic craft knowledge and skills”
2.
NTA Level 2
Certificate of Competence Level II
The holder of the qualification will be able to apply “intermediate craft knowledge and skills”
3.
NTA Level 3
Certificate of Competence Level III
The holder of the qualification will be able to apply “full / higher craft knowledge and skills”
4.
NTA Level 4
Basic Technician Certificate
The holder of the qualification will be able to apply skills and knowledge at routine level
5.
NTA Level 5
Technician Certificate
The holder of the qualification will be able to apply skills and knowledge in a range of activities, some of which are non-routine and be able to assume operational responsibilities.
6.
NTA Level 6
Ordinary Diploma
The holder of the qualification will be able to apply skills and knowledge in a broad range of work activities, most of which are non-routine.
7.
NTA Level 7
Higher Diploma
The holder of the qualification will be able to apply knowledge, skills and understanding in a broad range of complex technical activities, a high degree of personal responsibility and some responsibility for work of others
8.
NTA Level 8
Bachelors Degree
The holder of the qualification will be able to apply knowledge, skills and understanding in a wide and unpredictable variety of contexts with substantial personal responsibility, responsibility for the work of others and responsibility for the allocation of resources, policy, planning, execution and evaluation.
9.
NTA Level 9
Masters Degree
The holder of the qualification will be able to display mastery of a complex and specialised area of knowledge and skills, employing knowledge and understanding to conduct research or advanced technical or professional activity, able to work autonomously and in complex and unpredictable situations
10.
NTA Level 10
Doctorate Degree
The holder of the qualification will be able to apply knowledge and understanding and do advanced research resulting into significant and original contributions to a specialised field, demonstrate a command of methodological issues and engaging in critical dialogue with peers, able to work autonomously and in complex and unpredictable situations.

 
Level 1 -3 zinaitwa National Vocational Awards (NVA) zinasimamiwa na VETA na Level 4 - 10 zinaitwa National Technical Awards (NTA) zinasimamiwa na NACTE
 
kweli nimesikitishwa na ninaendelea kusikitishwa na uamuzi huu unaofanywa na watu ambao sijui wanatumia nini katika kufikiria!...
jaman navoelewa mimi muuguzi ni mtu ambae anatakiwa kuwa na elimu bora just like any orther professiions!..tatizo letu tunamuona muuguz kama chombo ambacho ni cha kutumia tu na hakifai ata kupewa haki zake!...nasema hivi kwasabab u normally course ya diploma in nursing inapaswa kuchukua four yrs consectvly! na sio chini ya apo amasivo sio sir ni kudanganyana tu!...hii ni sawa na voda fasta fulan ambazo zimewah kujitokeza!
a nurse should be educated kwan ana deal n mwil wa binadam hivo inapaswa asomeshwea ili awe competent katika kazi zake sasa mtu amesoma miaka miwil tu atakua amesoma basic science muda gan community muda gan practical muda gan and above all midwifery au oby muda gani!
tatizo hili linaleta athal nying katika taifa kwa ujumla bila wao kujua.............wanasema tunataka tupate good quality of care jaman itatoka wapi na wakat mnawasomesha watu vitu shallow???????????????// atakua muuguzi wa aina gani!,..uu ni upuuuuuuuuuuuuuuuuzi nasema na ninasimamia usemi huu make nachukia sana watu wanageuza fani inaonekana ya ajab na wakt ndo fani mmama katika medicine in general!

imagn kwanini tusijiulze kua mbona fani zingine hakuna kitu kama hiko kwamba wtu wapunguziwe miaka kazini ...hii ni kuidharau fani na kuzidi kujiongezea watu wenye kauli chafu uuuuuuuuuuuuu makazini/in hospitals...kwan i belive ata nursing ethics watakua hwakupata muda wa kuzisoma na kuzielewa vizuri.
Hii yote inashush kiwango cha uuguzi...elimu ya uuguzi...ata wanaotaka kujooin pia wanaamua kuacha...na pia inashusha quality of care! kwa maana nyingine the image of nursing is deteriorating!...ata mtoto mdogo analijua hilo kwa sasa!

Watu wamekua wakijoin fani kw minajili ya mslaah..kwel sikatai nacho nikigezo ili uweze kuishi lakini kama mtu anajua anastahil kua mgambo bora tu akajoin kule rather than kuendelea kuifanya nursing iwe like the living hell!...
muuguzi hathaminiwi..hii ni kwasababu ya wauguzi wenyewe...wanamambo ya ajabu balaaaaaaaaaaa....i mean those wakubwa wamekaaaaaaaaaaaaaaa tu they dont even dare to ask jaman wht is goin on uko....matatzo ni yap na tunanzie wapi kusov...............sana nikam hivi WATU WAZIMA WNAJADILI NGUO/MAVAZI ya muuuguzi............so what! wanasoma ili wavae vizuri au tunataka tu quality of care from the nurses who are qualified and competent with their work....yap maadili mema kazini nakubaliana nayo lakin we shud not wwast our time discussin on tunavaa magauni au masurual gan na begs! mabegan zip au rangi gan instead tuangalie huyu nurse anasoma elimu kiwango gani...na tnataka care ipi
Ndio maana watu wanafunga safar kwenda nje ya nchi kufata care kwan tz haina waugz wazur kwel????????????? wapo ila wapo kimya make nao wamechoka kwanza no one who is appreciating na pia no one who can speak for them/us....nachukia kwel watu wanapewa opportunity za kuwakilisha matatizo on nijinsi gani tufanya ili tboreshe hii kitu kwa ujumla yet hawafany hivo afu longolongo kibao. tht is why wengine wanaamua kusma vitu vingne tofauti lakini ukiliangali kwa undani hili ni kwamba matatizo yatzd kuongezka kwani tunazdi kupata wauguz ambao hawako qualified and hii inasababsh wenda kwa namna moja au nyingine kuongezka kwa vifo maospitalin due to the presence of UNQUALIFIED NURSES pahala pa kazi!....
kifupi nurses its high time for us to sit dwn and correct our these mistakes amasiivo this fan inakufa taratibu...
 
Tanzania ya leo inahitaj wauguz walosoma mambo ya dah! mwanangu amefel ....mpeleke akasome unesi/uuguzi(nukuuu kutoka mtaani) yakome! tuwe na restrictions ilikupunguza wauguz wavamizi(wasofaa) katka hosp....make mda mwingine unaona ata aibu kusema wewe ni muuuguz coz of the current situation....tunaonekana tuna roho mbaya jaman kumbe wengine basi tu ni mkumbo wa group....lakini pia naiomba na jamii iwe na mtazamo positive towards nurses! nao ni watu wanhtaj aprreciations kama wanazopewa watu wengine popote duniani!>...
Muuguzi thaman yake ni ndogo...some of us tnaongea wth experience ....malipo ni haba NA HAKUNA ANAYE JALI na yet ua the one who is spending much of your time with the patients and so on....this justify issue ya kusema lazima muuguzi awe amesoma make anadeal na maisha ya watu na sio wanyama awe na upeo wa kuelewa physiology behind,anatomy,pathology, na mengineyo amasivo uyu muuguz(voda fasta ) itafanya mambo yawe mabaya mbelen...pls tujifnze kuona mbali!.................i personally sikubalian na mambo ya two yrs, ...tuangalie uyu muuguzi tuanmuendeleza vip kwa ajili ya manufaa ya taifa kwa ujumla! na ikibidi recogntion nayo ifanyiwe kazi....
Together with the media we can potray a very positve image of nursing in the community at large!WAUGUZ AMKENI KUMEKUCHA MUACHE KULALA LALA NA AO MAMONITOR MNAOWACHAGUA WACHUNGUZEN B4 MAKN A VRY TERRIBLE MISTAKE!
 
Back
Top Bottom