Recent content by twitwi_twi

  1. twitwi_twi

    Nani anayekagua na kudhibiti ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG)?

    "MKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI" Hii hoja imenibidi nirejee jina la CAG kwa Kiswahili. Kinadharia katika definition ya SERIKALI huwa tunawaondoa BUNGE na MAHAKAMA. Pamoja na majibu mazuri ya wajumbe kwa swali la mtengeneza uzi, naomba pia kufahamishwa nani anakagua hesabu za BUNGE na utaratibu wa...
  2. twitwi_twi

    Ushauri wa bure kwa mliokosa kazi TRA

    Kawaida intern huwa anamshahara mkubwa kuliko mwajiriwa kamili. Intern hana PAYEE Sent using Jamii Forums mobile app
  3. twitwi_twi

    Naomba maelezo mafupi kuhusu viagra

    Maji mengi yanasaidia? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. twitwi_twi

    uhusiano wa kiu na maji ya baridi

    Ndiyo. Wachina hawana tabia ya kunywa maji ya baridi kabisa. Hata water dispenser zao zina sehemua maji ya moto na sehemu ya maji yenye joto la kawaida. Binafsi pia huwa situmii maji ya baridi na sihitaji maji mengi kukata kiu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. twitwi_twi

    VVU ni feki na havisababishi UKIMWI

    Mbona rahisi sana kuprove hili. Uingiziwe kwenye mishipa yako damu tone moja tu la damu ambayo vipimo vimeonesha ina VVU na wewe usitumie ARV. Utatupa matokeo baadaye. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. twitwi_twi

    uhusiano wa kiu na maji ya baridi

    Hakuna uhusiano wa kiu na maji ya baridi. Nadhani unajiskia ahueni haraka baada ya kunywa ya baridi kutokana na uwezo wake wa kupooza mwili. Kikubwa hapa ni mazoea tu. Mwili una tabia ya kuadopt kwa kile unachofanya. Umeuzoesha mwili maji ya baridi ndo maana ya vuguvugu huoni effect. Sent using...
  7. twitwi_twi

    TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

    Naombeni link kuweza kuona mechi nje ya Tanzania
  8. twitwi_twi

    Msiba wa Mh. Sugu: Anguko la maadili ya kitanzania ni kubwa mno

    Siyo kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  9. twitwi_twi

    Msiba wa Mh. Sugu: Anguko la maadili ya kitanzania ni kubwa mno

    Nimeshangazwa na kitendo kilichooneshwa na viongozi na wasanii wa nchi yetu tangu Mh. Sugu ameanza kumuuguza mama yake mzazi hospitali ya Muhimbili. Mama mzazi wa Mh. Sugu amelazwa hospitali kipindi ambacho Mh. Kigwangala pia amelazwa lakini tumeona viongozi wa kisiasa wakienda kumjulia hali...
  10. twitwi_twi

    Yuko wapi Waziri wa Madini Angella Kairuki?

    Kwani viongozi maternity leave zao ni zaidi ya miezi 3?
  11. twitwi_twi

    Ajali za ndege za biashara "commercial aircrafts" zimekuwa nyingi. Tatizo nini?

    Sina uzoefu na miaka ya nyuma sana lakini hivi karibuni tumekuwa tukishuhudia ajali "kubwa" za commercial jets. Mwaka 2017 kumekuwa na ajali 10 na mwaka 2018 hadi July 31 tayari zimetokea ajali 8. Ukuaji wa teknolojia umeshindwa kudhibiti hizi ajali? Tatizo nini? Orodha ya ajali kwa mwaka...
  12. twitwi_twi

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Nimejaribu kufuata kila hatua ya maelekezo yaliwekwa humu na yaliyowekwa youtube kufanya installation kwenye PC yenye Win 64bit hakuna "addon" iliyokubali kuplay. Kama kuna siri naomba ushauri. Ikiwa inafanya installation ya addons kuna baadhi ya installion packages zinareport error. Lakini...
  13. twitwi_twi

    Whatsapp sasa kuleta huduma ya kupiga simu kwa Group

    Wamiliki wa app ya Whatsapp wametangaza rasmi kuwa mwishoni mwa mwaka huu wataanzisha huduma maalumu itakayoweza kuwaunganisha watu zaidi ya wawili kwa wakati mmoja. Kwa kuanzia huduma itaweza kuwaunganisha hadi watu wanne bila kujali wapo wapi. Zaidi ni kuwa haya mawasiliano yatakuwa pia...
  14. twitwi_twi

    NMB wamejitoa huduma ya 'Salary Advance' kwa Watumishi wa Umma

    Mbona kama sijaelewa hapa. Ina maana ukiomba kupewa salary in advance wanakupa na ziada ya 5%?
  15. twitwi_twi

    Wanafunzi Dar na Dharau kwa Wakubwa Wao

    Kuna mwingine alimjibu mzee "we nawe umechelewa wapi, wa umri wako wapo kwenye magari yao"
Back
Top Bottom