badoo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 512
- 248
HIV/AIDS ni feki kwa kuwa AIDS haisababishwi na HIV na HIV hana uwezo wa kusababisha AIDS na ndio maana kuna mikanganyiko mingi sana. Mara watu hukwambia "ni vigumu sana kupata HIV kwa kufanya ngono", ukweli ni kwamba HIV haambukizwi kwa njia ya ngono.
Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa carrier, huu ni uongo pia. Kila mtu hawezi kudhurika na HIV, hata wewe pia. Walichofanya hawa jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/UKIMWI upo na unaua ilihali kinachoua ni ARVs.
Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria, TB au Typhoid. Walikataa kutumia electronic microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki, haonekani na ndio maana hadi leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari, atakwambia hajawahi kumwona.
Sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi? Ile picha ya HIV kwenye vitabu vyao waliipata wapi? Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee, kuna mambo mengine ndani ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo hivi (kumbuka bado kwamba HIV hasababishi UKIMWI).
Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa mbalimbali kama vile TB, hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa kwa protini hizo. Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.
Wengine husema "kuna watu wana HIV lakini hawadhuriki" watu hawa huitwa carrier, huu ni uongo pia. Kila mtu hawezi kudhurika na HIV, hata wewe pia. Walichofanya hawa jamaa wamefanya utafiti ni contradiction gani inajitokeza kwenye uongo huu waliotulisha halafu wakatafutia majibu yake ili kuendelea kuwapa watu imani kwamba kweli VVU/UKIMWI upo na unaua ilihali kinachoua ni ARVs.
Vipimo vyake ni feki kwa sababu havipimi HIV mwenyewe kwa muonekano kama ilivyo kwenye baadhi ya magonjwa kama vile malaria, TB au Typhoid. Walikataa kutumia electronic microscope kwa kuwa wenyewe wanajua kwamba HIV ni feki, haonekani na ndio maana hadi leo hii muulize daktari yeyote ambaye unamwamini wewe ni kichwa kama kashawahi kumuona HIV hata kwa kutumia vyombo vyao katika maisha yake yote ya udaktari, atakwambia hajawahi kumwona.
Sasa kama hajawahi then nini tunachokiamini basi? Ile picha ya HIV kwenye vitabu vyao waliipata wapi? Vipimo hivi hupima kinga ya mwili dhidi ya protini fulani ambazo zinaaminika zinatoka kwa HIV lakini sio specific kwa HIV pekee, kuna mambo mengine ndani ya mwili huweza kuzalisha protini hizo na mtu akaonekana ana HIV kwa kutumia vipimo hivi (kumbuka bado kwamba HIV hasababishi UKIMWI).
Mojawapo ya mambo hayo ni magonjwa mbalimbali kama vile TB, hali ya mimba kwa wanawake pia husababisha kuzalishwa/kutolewa kwa protini hizo. Haya ninayoongea kamwambie daktari yeyote yule mwelewa hatapinga.