Recent content by twiner

  1. twiner

    Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

    Malizia na NDU lilete maana kamili
  2. twiner

    Wanywa castle light

    Mkuu hyo mixer yako uliifanya vp?
  3. twiner

    Wanafunzi 11 wa chuo kikuu cha Mwenge-Moshi wamesimamishwa Masomo kwa sababu za kiimani!

    M nawapenda sana wasabato hasa wanavyoimba yale masauti yao "mwamba weee imaraaa kwako nitaajifichaaaaa…"
  4. twiner

    Access Bank Mwanza Interview Accomodation Cost

    Kalale shinyanga gesti
  5. twiner

    Mfanyakazi Bandarini afariki ktk Mazingira tata, Uongozi WA juu TPA wahusishwa!

    wajamen na haka kadegree kangu ka procurement siwezi kumreplace marehem kweli..nmesota sana mwaka wa 4 huu nasugua gaga
  6. twiner

    Mfanyakazi Bandarini afariki ktk Mazingira tata, Uongozi WA juu TPA wahusishwa!

    Na haka ka degree kangu ka procurement siwez kupata hyo nafasi..nmesota sana jaman mwaka wa nne huu
  7. twiner

    Kanzu/baibui liwe vazi la taifa

    Hadi kikwete aseme
  8. twiner

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

    Dah afadhal babaangu hayumo humo make nnemzarau sana
  9. twiner

    Tujikumbushe Nyimbo kali za Bongo Fleva Zilizotamba zamani

    Ntaupata wap huu wimbo asee
  10. twiner

    Ipo ukurasa wangapi?

    Mamamkwe akajibu vp sasa
  11. twiner

    Wahindi washangaa umasikini wa Tz kwa utajiri tulionao.

    Ebu ishauri serikali ifanye nn manake hawajui kwanini sisi n masikini
  12. twiner

    Wahindi washangaa umasikini wa Tz kwa utajiri tulionao.

    Sisi wenyewe tunashangaa kwann bado sisi n masikini..
  13. twiner

    Shule Yawaumbua walimu na Waziri wa elimu

    Tatizo maraisi wamekua wengi sana siku hzi; mara raisi wa manzese, raisi wa wasafi, raisi wa tff etc mnawachanganya watoto wetu aseee°
  14. twiner

    watu wa Tanga kama wamerogwa mchawi wao kafa

    Wanavuta pumzi ndani
Back
Top Bottom