Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Light mixer nzazi alaf kamata mtt mweupe..nilizimisha mtu aisee
Jamani napata taabu
kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao
ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa
na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno
Ndio maana tbl wamewatengenezea kila chaguo wewe kama unapenda kuwaka mapema unalamba safari au bingwa
Kabisa Mkuu, lengo la pombe ni kupata stimu na sio kujaza mimaji tumbonipole mzee,mie nishajitoga kabisa kwenye bia hapa ni mwendo wa konyagi
basi,kama nikitaka kubadilisha upepo bas nakamtilia jack daniels au
teachers
Kila mtu ana sababu yake ya kunywa anachokunywa..
---Wapo wanaotaka kulewa
---Wapo wanaotaka kuburudika tu
---Wapo wanaopenda ladha na harufu ya kinywaji tu(mfano wanaopendelea BALTIKA)
---Wapo wanaofata mkumbo
---Wapo wanaomini kuwa wanavutia au wanajiongezea mvuto ikiwa wataonekana wanakunywa aina fulani ya kinywaji.
Siku moja nilikutana na mzungu bar akawa anashangaa kwanini waAfrika wengi wanatumia pesa nyingi na muda mwingi kunywa bia nyingi na kukaa bar muda mrefu ili tu kulewa, ilhali wanaweza kutumia pesa kidogo kunywa vinywaji vikali na wakalewa haraka hinvyo kutopoteza muda mwingi bar.:behindsofa:
Tisa tu nilisha kula 21 na nikadrive mpaka hm na sikufeel kulewa kabisa ,zile zinawafaa wanafunzi wa kilevi sisi wazee wa viroba is jus a wastage of money n time...!Jamani napata taabu kujua hasa nia ya watu hasa wanaume wanaukunywa hiyo bear, je lengo lao ni kupata kilevi au kunywa tu ilimradi. Nimewahi kunywa hizo bear tisa na sikuona mabadiliko yoyote kichwani. Ni laini mno
Castle lite inaleta heshma ndani ya ndoa. jaribu leo utaona mwenza atakavyo badilika.
Aah wapi kitu valuer au nyagi..! Mbona mama atatafuta panyaroad ilipo akajisalimishe !!!
Light mixer nzazi alaf kamata mtt mweupe..nilizimisha mtu aisee
Da ebana ngoja na mie nijaribu hizo lite maana kitambi yangu naona inanipa shida,halafu siku hizi nikinywa ile bia yangu Caslte Lager huwa inanipa hangover sana,i think its time to shift to this beer.kama wewe ni mlevi ,,basi sio bia yako....
wew endelea kunywa safari za mot
mimi nakunywa hizo castle lite kwasababu
-nina kitambi
-nimekatazwa bia kunywa kutokana na presha
-na drive ,nahitaji kuwa sober always nakaa mbali na kazini
-sio mlimbukeni wa vileo,nilikunywa sana enz za chuo
Ni kweli kiongozi. Nilipata Tenda kwenye mazungumzo wakati tunashusha castle lite!Bia ya mazungumzo hiyo mkuu. Drink responsibly!!!!!!!
Hivi dhumuni la kunywa ni kulewa ?