ommysoftnet
Senior Member
- Feb 7, 2014
- 154
- 32
Sisi wanazuoni tunapendekeza Kanzu/ Baibui liwe vazi la taifa Tanzania na itajwe wazi kwenye KATIBA MPYA. FULL STOP.
WATUMWA WA MAGHARIBI HAWAWEZI KUKUELEWA HATA KIDOGO.....wenyewe wanataka watokelezee kama obama,wengine kama Beyonce, wengine kama 50 cent...wanaume wavae hereni kama chris brown....baadae watataka kuwa wasagaji kama kina madona,na wanaume watataka kuwa mashoga kama elton john....baadaye kabisa wanawake watataka kufanya mapenzi na hadi mbwa....Poleni sana SLAVE OF THE WEST....