Access Bank Mwanza Interview Accomodation Cost

Access Bank Mwanza Interview Accomodation Cost

Ahsante kwa informatin muku, nyegezi/buhongwa maeneo gani mkuu ili hata nikija niwe na direction nzuri hata kwa kuuliza kwa watu? na je hayo maeneo sio mbali na ilipo shule ya mwanza secondary? unapanda daladala ngapi mkuu kufika hapo mwanza secondary?

siyo mbali njomba nauli 400tshs ni km dk 20 au 30,we njo mi ntakupokea kiongozi
 
Wadau wana jamvi wenzangu , mbali na kupigiwa simu kuhusu interview kuwa 1st April Mwanza Secondary wamenitumia sms kuwa interview itakuwa kati ya 5-7days.

Pili wamesisitiza kuwa hawatahusika na cost zozote msiliwa atakazo incurred kipindichote hicho cha usail. Sina ndugu wala rafiki anaeishi mwaza. Back to the topic naomba kujuza nauli kutoka Dar-Mwanza ni shilingi ngapi? nawanaoishi Mwanza au wenyeji wa huko garama ya chumba cha kawaida tuu sio hotel kubwakubwa gesti bubu tu kulala kwa usiku mmoja ni shilingi ngapi? Yaani hapa moja haikai mbili haisogei wala tatu haijigusi kabisa. Sina kazi hela sina interview naitaka basi mambo fululuvululu tu.

Naomba kujuzwa kuhusu gharama tajwa hapo juu iliniwezefanya magazijuto nijue naitajika niwe na kiasi gani cha fedha kitakacho cover Accomodation during my interview. Natanguliza shukrani.

njoo mza afu nitafute nkupe accomodation ya siku tatu au nne ila msosi utajitegemea. karbu san kiongozi
 
Nauli ni 40000-42000
Chimba ni kuanzia 10000-15000
Chakula ukijibana unaweza ukapata Chai 500 chakula 1500
 
MIMI nakaa mwanza utakula bure na kulaa bure njoo hufanye interview nauli yako tuu
 
Jaribu bahati yako, lakini ujue gharama si ndogo pia. Kiasi cha chini kabisa unachotakiwa uwe nacho si chini ya 300,000/= ili uweze kuishi kikawaida sana. Hawa Access bank waliita interview Tabora hivi karibu na waliofanya walikuwa 45, wakachukuliwa 40. Hivyo huwezi jua bahati yako. Wanangu wawili wameitwa pia ila nimewaomba waisamehe bure kwa ajili ya gharama.
 
Jaribu bahati yako, lakini ujue gharama si ndogo pia. Kiasi cha chini kabisa unachotakiwa uwe nacho si chini ya 300,000/= ili uweze kuishi kikawaida sana. Hawa Access bank waliita interview Tabora hivi karibu na waliofanya walikuwa 45, wakachukuliwa 40. Hivyo huwezi jua bahati yako. Wanangu wawili wameitwa pia ila nimewaomba waisamehe bure kwa ajili ya gharama.
Yani mi mwenyewe Mkuu nimeisamehe tu nikiangalia izo gharama naona ni juu ya uwezo wangu na kupata ni 50 kwa 50
 
Mliotuma application hamkujua hilo? Sometymes tunajikosesha nafasi sisi wenyewe kama ni mara yako ya kwanza kuomba acess ni rahis kuelewa lakin kama ulishawahi kuomba ntakushangaa
 
Mliotuma application hamkujua hilo? Sometymes tunajikosesha nafasi sisi wenyewe kama ni mara yako ya kwanza kuomba acess ni rahis kuelewa lakin kama ulishawahi kuomba ntakushangaa
Kwa upande wangu sikujua kama process iko ivo sababu ni mara ya kwanza nilijua nimetuma maombi dar na interview itakuwa dar so lilipokuja suala la mwanza niliishiwa na poozi
 
Back
Top Bottom